Goodluck Gozbert - Wacha Waone Lyrics
Lyrics
Wacha Waone, Wacha Waone Wacha Waone, Vile wewe ni ngome
Wacha Waone, Wacha Waone Wacha Waone, Vile wewe ni ngome
Wacha Waone Wacha Waone Wacha Waone Vile wewe ni ngome
Niko hapa kukuwakilisha Yesu wangu Nataka waone Vile ulivyo ngome Kwangu Tumetoka mbali, Umenitoa mbali Ninaomba waone Ulivyo mkubwa
Uliko nitoa aaah mimi najua Ndio maana nasema Wewe ni mwamba
Sitarudi kule nilikotoka Niko na wewe Kwangu ni mwamba Uliko ni vusha mimi najua Ndio maana nasema Wewe ni mwamba Kwa macho Waone ulivyo Ili nao waelewe Wewe ni ngome Kwa macho wakujue Nilie na eeeh Wao waseme kweli ni ngome oyo
Wacha Waone, Wacha Waone Wacha Waone, Vile wewe ni ngome
Wacha Waone, Wacha Waone Wacha Waone, Vile wewe ni ngome
Sibishani sibishani na wabishi sugu Nisije nikasema kakasirika Mungu Sitetei siteti Hali yangu ngumu Siunajua ukitenda watatafutana huku
Weeh Yahweh sina… sina Wakulinganisha na wewe wee eh Nashukuru shukuru shukuru Kyala Hata yale ulinitendea pasipo kuomba eeh Ngome yangu ya siri wewe Mungu Kuna vile unipigania nisiaibike eeh
Utawale, Utawale Tu Utawale eeheee Utawale, Utawale Tu Utawale eeheee
Chineke Daddy
Wacha Waone, Wacha Waone Wacha Waone, Vile wewe ni ngome Wacha Waone, Wacha Waone Wacha Waone, Vile wewe ni ngome
Katika Vitu, Katika Watu Ukaniinua aah nashukuru Yesu Katika Vitu, Katika Watu Nikaheshimiwa aah nashukuru Yesu
Sasa najidaidai (daida) Nafurahi rahi (daida) Asante eeh (oohoo) Nafurahi Leo (daida) Najidai kwa Yesu (daida) Ninaendeleaa ah (daida) Sinashangiliaaa aaah (daida) Kwa Baba aah (daida) Najidai iiih (daida)
Ninaenda kwa baba aah (daida) Nafurahi kwa Yhaweh (daida) Uuh (daida)
Video
Goodluck Gozbert feat Martha Mwaipaja - Wacha Waone (Official Video) For Skiza Dial *860*865#