Goodluck Gozbert - Wacha Waone Lyrics

Lyrics

Wacha Waone, Wacha Waone Wacha Waone, Vile wewe ni ngome

Wacha Waone, Wacha Waone Wacha Waone, Vile wewe ni ngome

Wacha Waone Wacha Waone Wacha Waone Vile wewe ni ngome

Niko hapa kukuwakilisha Yesu wangu Nataka waone  Vile ulivyo ngome Kwangu Tumetoka mbali, Umenitoa mbali Ninaomba waone Ulivyo mkubwa

Uliko nitoa aaah mimi najua  Ndio maana nasema Wewe ni mwamba

Sitarudi kule nilikotoka Niko na wewe Kwangu ni mwamba Uliko ni vusha mimi najua Ndio maana nasema Wewe ni mwamba Kwa macho Waone ulivyo Ili nao waelewe Wewe ni ngome Kwa macho wakujue Nilie na eeeh Wao waseme kweli ni ngome oyo

Wacha Waone, Wacha Waone Wacha Waone, Vile wewe ni ngome

Wacha Waone, Wacha Waone Wacha Waone, Vile wewe ni ngome

Sibishani sibishani na wabishi sugu Nisije nikasema kakasirika Mungu Sitetei siteti Hali yangu ngumu Siunajua ukitenda watatafutana huku

Weeh Yahweh sina… sina Wakulinganisha na wewe wee eh Nashukuru shukuru shukuru Kyala Hata yale ulinitendea pasipo kuomba eeh Ngome yangu ya siri wewe Mungu Kuna vile unipigania nisiaibike eeh

Utawale, Utawale Tu Utawale eeheee Utawale, Utawale Tu Utawale eeheee

Chineke Daddy

Wacha Waone, Wacha Waone Wacha Waone, Vile wewe ni ngome Wacha Waone, Wacha Waone Wacha Waone, Vile wewe ni ngome

Katika Vitu, Katika Watu Ukaniinua aah nashukuru Yesu Katika Vitu, Katika Watu Nikaheshimiwa aah nashukuru Yesu

Sasa najidaidai (daida) Nafurahi rahi (daida) Asante eeh (oohoo) Nafurahi Leo (daida) Najidai kwa Yesu (daida) Ninaendeleaa ah (daida) Sinashangiliaaa aaah (daida) Kwa Baba aah (daida) Najidai iiih (daida)

Ninaenda kwa baba aah (daida) Nafurahi kwa Yhaweh (daida) Uuh (daida)

 

Video

Goodluck Gozbert feat Martha Mwaipaja - Wacha Waone (Official Video) For Skiza Dial *860*865#

Thumbnail for Wacha Waone video
Loading...
In Queue
View Lyrics