Bahati - Nyota Lyrics

Lyrics

Lugende lamu Nikitafuta nyota aiseee Mutema wangu Mukachoma sana aisee

Lugende lamu Nikitafuta nyota aiseee Mutema wangu Mukachoma sana

Kisa cha damu msalabani Uliniwahi wahi wahi Siwezi lenga kama deni una ni dai dai dai

Kisa cha damu msalabani Uliniwahi wahi wahi Siwezi lenga kama deni una ni dai dai dai

Kwako me nang'aa sana Wewe ni nyota eeh Kwangu zaidi ya star baba Wewe ni nyota eeh

Kwako me nang'aa sana Wewe ni nyota eeh Kwangu zaidi ya star baba Wewe ni nyota eeh

Messiah ninavyo kuimbia Si eti napendalia Laiti wangelijua Mbali ulikonitoa

Ninavyo kuimbia ...aha ahaa Wangelijua ...aha ahaa

Zile time za primo Kaptula mashimo Umenifanya ngumzo Imekuwa ndo sivyo

Zile time za primo Kaptula mashimo Umenifanya ngumzo Imekuwa ndo sivyo

Wewe ndiye nyota Kwako me nang'aa sana Wewe ni nyota eeh Kwangu zaidi star baba Wewe ni nyota eeh

Kwako me nang'aa sana Wewe ni nyota eeh Kwangu zaidi star baba Wewe ni nyota eeh

Kisa cha damu msalabani Uliniwahi wahi wahi Siwezi lenga kama deni una ni dai dai dai

Kisa cha damu msalabani Uliniwahi wahi wahi Siwezi lenga kama deni una ni dai dai dai

Kwako me nang'aa sana Wewe ni nyota eeh Kwangu zaidi ya star baba Wewe ni nyota eeh

Kwako me nang'aa sana Wewe ni nyota eeh Kwangu zaidi ya star baba Wewe ni nyota eeh

Ulifanya nang'aa Ulinifanya mi star Kwa yote wewe ni nyota eeh Wewe ni nyota eeh Wewe ndiye star Wewe ni nyota eeh

 

Video

BAHATI - NYOTA (Official Video)

Thumbnail for Nyota video
Loading...
In Queue
View Lyrics