Bahati - Nakupa Moyo Lyrics

Lyrics

Ulikonitoa ni mbali Kwenye panda shuka za maisha Kwenye mvua na jua kali Kivulini ukaniweka

Kwenye juhudi za kutafuta shillingi Hukuninyima Tena kwa taabu nikitafuta riziki Ukaniinua Baba

Nyingi mondo omii duong’ Yesu ruodha, an apaki pile In e ohingana e osimbona An apaki pile ruodha

Umenitendea na mengi nilipe na nini? Nakupa moyo Umenitendea na mengi nyumbani kazini Nakupa moyo

Umenitendea na mengi nilipe na nini? Nakupa moyo Sio nyumbani sio kazini Baba Chukua moyo yesu wangu

Aah nipigwe na mawimbi, aaah Umenilinda siamini Lako sandere mangalee Zanderema yoo Ogondo zandage mangeze Olaniwan

Umenifinyanga siamini Yesu wangu Umenibeb angani mimi

Umenitendea na mengi nilipe na nini? Nakupa moyo Umenitendea na mengi nyumbani kazini Nakupa moyo

Umenitendea na mengi nilipe na nini? Nakupa moyo Sio nyumbani sio kazini Baba Nakupa moyo

Umenitendea na mengi nilipe na nini? Nakupa moyo Umenitendea na mengi nyumbani kazini Nakupa moyo

Umenitendea na mengi nilipe na nini? Nakupa moyo Sio nyumbani sio kazini Baba Chukua moyo Yesu wangu

Video

BAHATI Feat. AKOTHEE - NAKUPA MOYO (Official Video)

Thumbnail for Nakupa Moyo video
Loading...
In Queue
View Lyrics