Bahati - Nakupa Moyo Lyrics

Nakupa Moyo Lyrics

Ulikonitoa ni mbali
Kwenye panda shuka za maisha
Kwenye mvua na jua kali
Kivulini ukaniweka

Kwenye juhudi za kutafuta shillingi
Hukuninyima
Tena kwa taabu nikitafuta riziki
Ukaniinua Baba

Nyingi mondo omii duong’
Yesu ruodha, an apaki pile
In e ohingana e osimbona
An apaki pile ruodha

Umenitendea na mengi nilipe na nini?
Nakupa moyo
Umenitendea na mengi nyumbani kazini
Nakupa moyo

Umenitendea na mengi nilipe na nini?
Nakupa moyo
Sio nyumbani sio kazini Baba
Chukua moyo yesu wangu

Aah nipigwe na mawimbi, aaah
Umenilinda siamini
Lako sandere mangalee Zanderema yoo
Ogondo zandage mangeze Olaniwan

Umenifinyanga siamini
Yesu wangu
Umenibeb angani mimi

Umenitendea na mengi nilipe na nini?
Nakupa moyo
Umenitendea na mengi nyumbani kazini
Nakupa moyo

Umenitendea na mengi nilipe na nini?
Nakupa moyo
Sio nyumbani sio kazini Baba
Nakupa moyo

Umenitendea na mengi nilipe na nini?
Nakupa moyo
Umenitendea na mengi nyumbani kazini
Nakupa moyo

Umenitendea na mengi nilipe na nini?
Nakupa moyo
Sio nyumbani sio kazini Baba
Chukua moyo Yesu wangu


Nakupa Moyo Video

Bahati Songs

Related Songs