Bahati - Nakupa Moyo Lyrics
Lyrics
Ulikonitoa ni mbali Kwenye panda shuka za maisha Kwenye mvua na jua kali Kivulini ukaniweka
Kwenye juhudi za kutafuta shillingi Hukuninyima Tena kwa taabu nikitafuta riziki Ukaniinua Baba
Nyingi mondo omii duong’ Yesu ruodha, an apaki pile In e ohingana e osimbona An apaki pile ruodha
Umenitendea na mengi nilipe na nini? Nakupa moyo Umenitendea na mengi nyumbani kazini Nakupa moyo
Umenitendea na mengi nilipe na nini? Nakupa moyo Sio nyumbani sio kazini Baba Chukua moyo yesu wangu
Aah nipigwe na mawimbi, aaah Umenilinda siamini Lako sandere mangalee Zanderema yoo Ogondo zandage mangeze Olaniwan
Umenifinyanga siamini Yesu wangu Umenibeb angani mimi
Umenitendea na mengi nilipe na nini? Nakupa moyo Umenitendea na mengi nyumbani kazini Nakupa moyo
Umenitendea na mengi nilipe na nini? Nakupa moyo Sio nyumbani sio kazini Baba Nakupa moyo
Umenitendea na mengi nilipe na nini? Nakupa moyo Umenitendea na mengi nyumbani kazini Nakupa moyo
Umenitendea na mengi nilipe na nini? Nakupa moyo Sio nyumbani sio kazini Baba Chukua moyo Yesu wangu
Video
BAHATI Feat. AKOTHEE - NAKUPA MOYO (Official Video)