Lyrics
Nimekuja kusema asante
Nimekuja kusema ahsante
Ahsante kwa wema wako, na fadhili zako Baba
Mimi nimekuja kusema ahsante
Nimekuja kusema asante
Nimekuja kusema ahsante
Ahsante kwa wema wako, na fadhili zako Baba
Mimi nimekuja kusema ahsante
Chorus:
Asante asante!
Nimekuja kusema asante
Asante asante!
Nimekuja kusema asante
Nimekuja kusema ahsante
Shukrani zangu, nazileta kwako
Shukrani zangu, Baba zipokee
Moyo wangu washukuru, nafsi yangu yakuhimidi Baba
Kwa fadhili zako, na wema wako
Asante asante!
Nimekuja kusema asante
Asante asante!
Nimekuja kusema asante
Umetutoa mbali, umetupeleka mbali
Tumeona mkono wako, ukiwa pamoja nasi
Asante asante!
Nimekuja kusema asante
Asante asante!
Nimekuja kusema asante