Ringtone - Natafuta bibi Lyrics
Lyrics
Oa, oa, yeah yeah Ringtone, mwana Ringtone
Natafuta bibi, nisaidie Natafuta bibi, mniombee Natafuta bibi, pastor nisaidie Natafuta bibi, mniombee
Natafuta bibi anayempenda Mungu(Oooh) Hapendi fitina anapenda watu(Oooh) Anapenda kuomba anapenda kusifu(Oooh) Mwenye hekima na hofu(Oooh)
Ananyenyekea, anapenda watu Anapenda watoto, anapenda Mungu Anatoa sadaka na fungu la kumi Yuko wapi? Namtafuta
Daudi akasema Nilikuwa kijana sasa ni mzee Na sijawahi ona Mungu ameacha mwenye haki
Natafuta bibi, nisaidie Natafuta bibi, mniombee Natafuta bibi, pastor nisaidie Natafuta bibi, mniombee
Watu hawataki kuelewa Mimi wananichekelea Kwake Mungu nategemea Mke ataniletea
Alivyompa Sara Mtoto miaka ya uzeeni Na akamjibu Hannah Akampa wana
Daudi akasema Nilikuwa kijana sasa ni mzee Na sijawahi ona Mungu ameacha mwenye haki
Natafuta bibi, nisaidie Natafuta bibi, mniombee Natafuta bibi, pastor nisaidie Natafuta bibi, mniombee
Maombi yangu, mi nifanye harusi Watu wale pilau, washerehekee Tutembee kanisani, watu waimbe pambio Kwetu nyumbani, watu washerehekee
Wale hawakuamini Wanaeza wa-washerehekee Wale walionipenda Mbele yao waniletee zawadi
Tuwe na harusi Itakayofunganishwa kanisani Tuwe na harusi Itakayokubalika mbinguni
Natafuta bibi, nisaidie Natafuta bibi, mniombee Natafuta bibi, pastor nisaidie Natafuta bibi, mniombee
Natafuta bibi, nisaidie Natafuta bibi, mniombee Natafuta bibi, pastor nisaidie Natafuta bibi, mniombee
Video
RINGTONE - Natafuta Bibi (Official Video)