Ringtone - Natafuta bibi Lyrics

Lyrics

Oa, oa, yeah yeah Ringtone, mwana Ringtone 

Natafuta bibi, nisaidie Natafuta bibi, mniombee Natafuta bibi, pastor nisaidie Natafuta bibi, mniombee

Natafuta bibi anayempenda Mungu(Oooh) Hapendi fitina anapenda watu(Oooh) Anapenda kuomba anapenda kusifu(Oooh) Mwenye hekima na hofu(Oooh)

Ananyenyekea, anapenda watu Anapenda watoto, anapenda Mungu Anatoa sadaka na fungu la kumi Yuko wapi? Namtafuta

Daudi akasema Nilikuwa kijana sasa ni mzee Na sijawahi ona Mungu ameacha mwenye haki

Natafuta bibi, nisaidie Natafuta bibi, mniombee Natafuta bibi, pastor nisaidie Natafuta bibi, mniombee

Watu hawataki kuelewa  Mimi wananichekelea  Kwake Mungu nategemea Mke ataniletea

Alivyompa Sara Mtoto miaka ya uzeeni Na akamjibu Hannah Akampa wana

Daudi akasema Nilikuwa kijana sasa ni mzee Na sijawahi ona Mungu ameacha mwenye haki

Natafuta bibi, nisaidie Natafuta bibi, mniombee Natafuta bibi, pastor nisaidie Natafuta bibi, mniombee

Maombi yangu, mi nifanye harusi Watu wale pilau, washerehekee Tutembee kanisani, watu waimbe pambio Kwetu nyumbani, watu washerehekee

Wale hawakuamini Wanaeza wa-washerehekee Wale walionipenda Mbele yao waniletee zawadi

Tuwe na harusi Itakayofunganishwa kanisani Tuwe na harusi Itakayokubalika mbinguni

Natafuta bibi, nisaidie Natafuta bibi, mniombee Natafuta bibi, pastor nisaidie Natafuta bibi, mniombee

Natafuta bibi, nisaidie Natafuta bibi, mniombee Natafuta bibi, pastor nisaidie Natafuta bibi, mniombee

Video

RINGTONE - Natafuta Bibi (Official Video)

Thumbnail for Natafuta bibi video
Loading...
In Queue
View Lyrics