Lyrics
Verse 1
Je ni nani angeweza
Kututoa chini mabumbini
Maana kila mtu alitukata
Ila Mungu akatukumbatia
Verse 2
Je ni nani angeweza
Kutuinua kutuweka juu
Maana kila mtu alitukata
Ila Mungu akatukumbatia
Chorus
Je ni nani angeweza
Kutuinua kutuweka juu
Maana kila mtu alitukata
Ila Mungu akatukumbatia
Verse 3
Je ni nani angeweza
Kutupati nafasi
Maana kila mtu alitukata
Ila Mungu akatupatia
Bridge
Hakuangalia elimu zetu
Hakuangalia mionekano yetu
Aliangalia mioyo yetu
Kwake tukapata kibali
Chorus
Amefanya Mungu, amefanya
Amefanya Mungu, amefanya
Haikuwa rahisi kwa akili zetu
Amefanya Mungu, amefanya
Verse 4
Je ni nani angeweza
Kutukubali jinsi tulivyo
Maana kila mtu alitukata
Ila Mungu akatukubali
Bridge
Si elimu zetu
Si ujuzi wetu
Ila neema yake imetuweka hapa
Haikuwa rahisi
Chorus
Vile namna neema yako inafanya
Hakuna elimu inaweza fanya
Hata kama ikishindana
Hata kama ikipambana
Neema yako itashinda
Bridge
Hakuangalia elimu zetu
Hakuangalia mionekano yetu
Aliangalia mioyo yetu
Kwake tukapata kibali
Chorus
Amefanya Mungu, amefanya
Amefanya Mungu, amefanya
Haikuwa rahisi kwa akili zetu
Amefanya Mungu, amefanya
Outro
Ni yeye tu
Si mwanadamu
Si mwanadamu
Kwa akili zetu
Amefanya Mungu, amefanya
Haikuwa rahisi
Kwa akili zetu
Amefanya Mungu, amefanya