Mr Seed - Hakuna Kama Wewe Lyrics

Lyrics

Alitufunza tupendane, tuombeane Chuki ya nini kati yangu mimi na wewe Bahati tena, alitufunza tupendane, tuombeane Chuki ya nini kati yangu mimi na wewe

Eeh Baba hakuna kama wewe Mbingu na dunia zinakupa sifa Baba aah baba aah (Mr Seed again)

Eeh Baba hakuna kama wewe Mbingu na dunia zinakupa sifa Baba aah baba aah 

Unakumbuka stori ya msamaria mwema alifanya wema Nipe nguvu nami nitatenda mema, Yesu wee Kila pahali nitawapa habari njema Nitahubiri neno lako wee Bwana wa mabwana we ni mwema, Yesu wee

Ukaniosha dhambi ukanieka pahali pema Nakupenda baba wewe Jina lako lihimidiwe lisujudiwe Yesu wee yeah yeah

Alitufunza tupendane, tuombeane Chuki ya nini kati yangu mimi na wewe Baba, alitufunza tupendane, tuombeane Chuki ya nini kati yangu mimi na wewe

Eeh Baba hakuna kama wewe Mbingu na dunia zinakupa sifa Baba aah baba aah 

Eeh Baba hakuna kama wewe Mbingu na dunia zinakupa sifa Baba aah baba aah 

Put your hands up, maboko likolo Shake your legs now, katika lokolo Shout his name now, mulolo mulolo What you have seen now, ametenda!

Put your hands up, maboko likolo Shake your legs now, katika lokolo Shout his name now, mulolo mulolo What you have seen now, ametenda!

- -

Put your hands up, maboko likolo Shake your legs now, katika lokolo Shout his name now, mulolo mulolo What you have seen now, ametenda!

Put your hands up, maboko likolo Shake your legs now, katika lokolo Shout his name now, mulolo mulolo What you have seen now, ametenda!

Hehe, sifa na utukufu zimrudie Yesu Kwa yote ametenda mwanadamu hawezi kutenda

Sasa ni wakati wa dozeh, wakati wa kukatikia Yesu

Azambe ah lokolo Mikono kwenye hewa maboko likolo Azambe ah lokolo Mikono kwenye hewa maboko likolo

Put your hands up, maboko likolo Shake your legs now, katika lokolo Shout his name now, mulolo mulolo What you have seen now, ametenda!

Video

Hakuna Kama Wewe

Thumbnail for Hakuna Kama Wewe video
Loading...
In Queue
View Lyrics