David Wonder - Pande Lyrics

Lyrics

Nitabaki hii pande Nitabaki hii pande Nitabaki hii pande Nitabaki hii nionane na Yesu

Nitabaki hii pande Nitabaki hii pande Nitabaki hii pande Nitabaki hii nionane na Yesu

(Alexis on the Beat)

Nimeng'ang'ana na wokovu wangu Nikianguka nainuka nasonga (Songa sana) Nimepambana ingawa moyo wangu Unaamini saa zingine wakana

Na nikikuita waitika (Aah) Hujawai jificha (Aah) Hata nikichoma picha (Aah) We mwaminifu

Na nikikuita waitika (Aah) Hujawai jificha (Aah) Hata nikichoma picha (Aah)

Nitabaki hii pande Nitabaki hii pande Nitabaki hii pande Nitabaki hii nionane na Yesu

Nitabaki hii pande Nitabaki hii pande Nitabaki hii pande Nitabaki hii nionane na Yesu

Niulize, nikwambie Kuna utamu kwa Yesu Kuna furaha kwa Yesu

Niulize, niulize nikwambie Kuna uhuru kwa Yesu Kuna furaha kwa Yesu

Nilidhani ninakuja fungiwa Kumbe ni baraka napata napata Aii mi nazidiwa 

Nilidhani ninakuja fungiwa Kumbe ni baraka napata napata Aii mi nazidiwa

Na nikikuita waitika (Aah) Hujawai jificha (Aah) Hata nikichoma picha (Aah) We mwaminifu

Na nikikuita waitika (Aah) Hujawai jificha (Aah) Hata nikichoma picha (Aah) We mwaminifu

Nitabaki hii pande Nitabaki hii pande Nitabaki hii pande Nitabaki hii nionane na Yesu

Nitabaki hii pande Nitabaki hii pande Nitabaki hii pande Nitabaki hii nionane na Yesu

Upande wako ndo napatikana Hakuna uchungu na laana  Upande wako ndo napatikana

(Kwa Yesu sihami)

Video

David Wonder x Moji Short Babaa - Pande (Official Video) Skiza *811*380#

Thumbnail for Pande video
Loading...
In Queue
View Lyrics