David Wonder - Pande Lyrics
Lyrics
Nitabaki hii pande Nitabaki hii pande Nitabaki hii pande Nitabaki hii nionane na Yesu
Nitabaki hii pande Nitabaki hii pande Nitabaki hii pande Nitabaki hii nionane na Yesu
(Alexis on the Beat)
Nimeng'ang'ana na wokovu wangu Nikianguka nainuka nasonga (Songa sana) Nimepambana ingawa moyo wangu Unaamini saa zingine wakana
Na nikikuita waitika (Aah) Hujawai jificha (Aah) Hata nikichoma picha (Aah) We mwaminifu
Na nikikuita waitika (Aah) Hujawai jificha (Aah) Hata nikichoma picha (Aah)
Nitabaki hii pande Nitabaki hii pande Nitabaki hii pande Nitabaki hii nionane na Yesu
Nitabaki hii pande Nitabaki hii pande Nitabaki hii pande Nitabaki hii nionane na Yesu
Niulize, nikwambie Kuna utamu kwa Yesu Kuna furaha kwa Yesu
Niulize, niulize nikwambie Kuna uhuru kwa Yesu Kuna furaha kwa Yesu
Nilidhani ninakuja fungiwa Kumbe ni baraka napata napata Aii mi nazidiwa
Nilidhani ninakuja fungiwa Kumbe ni baraka napata napata Aii mi nazidiwa
Na nikikuita waitika (Aah) Hujawai jificha (Aah) Hata nikichoma picha (Aah) We mwaminifu
Na nikikuita waitika (Aah) Hujawai jificha (Aah) Hata nikichoma picha (Aah) We mwaminifu
Nitabaki hii pande Nitabaki hii pande Nitabaki hii pande Nitabaki hii nionane na Yesu
Nitabaki hii pande Nitabaki hii pande Nitabaki hii pande Nitabaki hii nionane na Yesu
Upande wako ndo napatikana Hakuna uchungu na laana Upande wako ndo napatikana
(Kwa Yesu sihami)
Video
David Wonder x Moji Short Babaa - Pande (Official Video) Skiza *811*380#