Sifa Lyrics

Haiwezani by David Wonder cover art

David Wonder - Haiwezani Lyrics

Artist:
David Wonder

Lyrics

Ulisema utakuja kutuokoa sisi wako watu
Ukasema, tutakusulubisha baada kukana mara tatu
Ulisema utakuja kutuokoa sisi wako watu
Ukasema, tutakusulubisha baada kukana mara tatu


Baada miujiza si kuona
Na vipofu wagonjwa wakapona
Viwete kuinuka na kusonga
Nyuma yako walipanga kukumurder


Baada miujiza si kuona
Na vipofu wagonjwa wakapona
Viwete kuinuka na kusonga
Nyuma yako walipanga kukumurder


Nguvu zako watake
Ooh haiwezani, haiwezani
Ooh haiwezani, haiwezani


Nguvu zako watamati
Ooh haiwezani, haiwezani
Ooh haiwezani, haiwezani


Nilidhani bossi wangu ana  nguvu sana
Nguvu za kufuta kazi na kuandikana
Nilidhani mheshimiwa ana nguvu sana
Nikimpa kiti leo mi si wa maana


Hakuna cha kulinganishwa
Na nguvu zako baba
Hakuna anaja kunitisha
Nikiwa na wewe baba


Eeh haiyee... yeiyee


Nguvu zako watake
Ooh haiwezani, haiwezani
Ooh haiwezani, haiwezani


Nguvu zako watamati
Ooh haiwezani, haiwezani
Ooh haiwezani, haiwezani


Nimejifunza kuamini nguvu zako
Hujawai angusha watu wako
Kimbilio pigania neno lako
Pigania neno lako


Uhai umenipa bure
Na pia chakula nikule
Sasa mbona mi nirudi kule


Nguvu zako watake
Ooh haiwezani, haiwezani
Ooh haiwezani, haiwezani


Nguvu zako watamati
Ooh haiwezani, haiwezani
Ooh haiwezani, haiwezani


Nguvu zako watake
Ooh haiwezani, haiwezani
Ooh haiwezani, haiwezani


Nguvu zako watamati
Ooh haiwezani, haiwezani
Ooh haiwezani, haiwezani
 


Video