David Wonder - Haiwezani Lyrics
Lyrics
Ulisema utakuja kutuokoa sisi wako watu Ukasema, tutakusulubisha baada kukana mara tatu Ulisema utakuja kutuokoa sisi wako watu Ukasema, tutakusulubisha baada kukana mara tatu
Baada miujiza si kuona Na vipofu wagonjwa wakapona Viwete kuinuka na kusonga Nyuma yako walipanga kukumurder
Baada miujiza si kuona Na vipofu wagonjwa wakapona Viwete kuinuka na kusonga Nyuma yako walipanga kukumurder
Nguvu zako watake Ooh haiwezani, haiwezani Ooh haiwezani, haiwezani
Nguvu zako watamati Ooh haiwezani, haiwezani Ooh haiwezani, haiwezani
Nilidhani bossi wangu ana nguvu sana Nguvu za kufuta kazi na kuandikana Nilidhani mheshimiwa ana nguvu sana Nikimpa kiti leo mi si wa maana
Hakuna cha kulinganishwa Na nguvu zako baba Hakuna anaja kunitisha Nikiwa na wewe baba
Eeh haiyee... yeiyee
Nguvu zako watake Ooh haiwezani, haiwezani Ooh haiwezani, haiwezani
Nguvu zako watamati Ooh haiwezani, haiwezani Ooh haiwezani, haiwezani
Nimejifunza kuamini nguvu zako Hujawai angusha watu wako Kimbilio pigania neno lako Pigania neno lako
Uhai umenipa bure Na pia chakula nikule Sasa mbona mi nirudi kule
Nguvu zako watake Ooh haiwezani, haiwezani Ooh haiwezani, haiwezani
Nguvu zako watamati Ooh haiwezani, haiwezani Ooh haiwezani, haiwezani
Nguvu zako watake Ooh haiwezani, haiwezani Ooh haiwezani, haiwezani
Nguvu zako watamati Ooh haiwezani, haiwezani Ooh haiwezani, haiwezani
Video
David Wonder - Haiwezani (Official Video) Skiza 5961196 to 811