David Wonder - Haiwezani Lyrics

Lyrics

Ulisema utakuja kutuokoa sisi wako watu Ukasema, tutakusulubisha baada kukana mara tatu Ulisema utakuja kutuokoa sisi wako watu Ukasema, tutakusulubisha baada kukana mara tatu

Baada miujiza si kuona Na vipofu wagonjwa wakapona Viwete kuinuka na kusonga Nyuma yako walipanga kukumurder

Baada miujiza si kuona Na vipofu wagonjwa wakapona Viwete kuinuka na kusonga Nyuma yako walipanga kukumurder

Nguvu zako watake Ooh haiwezani, haiwezani Ooh haiwezani, haiwezani

Nguvu zako watamati Ooh haiwezani, haiwezani Ooh haiwezani, haiwezani

Nilidhani bossi wangu ana  nguvu sana Nguvu za kufuta kazi na kuandikana Nilidhani mheshimiwa ana nguvu sana Nikimpa kiti leo mi si wa maana

Hakuna cha kulinganishwa Na nguvu zako baba Hakuna anaja kunitisha Nikiwa na wewe baba

Eeh haiyee... yeiyee

Nguvu zako watake Ooh haiwezani, haiwezani Ooh haiwezani, haiwezani

Nguvu zako watamati Ooh haiwezani, haiwezani Ooh haiwezani, haiwezani

Nimejifunza kuamini nguvu zako Hujawai angusha watu wako Kimbilio pigania neno lako Pigania neno lako

Uhai umenipa bure Na pia chakula nikule Sasa mbona mi nirudi kule

Nguvu zako watake Ooh haiwezani, haiwezani Ooh haiwezani, haiwezani

Nguvu zako watamati Ooh haiwezani, haiwezani Ooh haiwezani, haiwezani

Nguvu zako watake Ooh haiwezani, haiwezani Ooh haiwezani, haiwezani

Nguvu zako watamati Ooh haiwezani, haiwezani Ooh haiwezani, haiwezani  

Video

David Wonder - Haiwezani (Official Video) Skiza 5961196 to 811

Thumbnail for Haiwezani video
Loading...
In Queue
View Lyrics