Bahati - Fikra za Bahati Lyrics

Lyrics

Mamako akinipenda niite baba wa kambo Wasanii kwa uwanja nadeal nao ki Rambo Uliza Sauti Sol founder wa kufungua label Wakati wanasign nishadismiss kitambo

Mziki sio kiki makali kama panga Mwisho wa maneno Ringtone nakuvisha kanga Pole Octopizzo walikuendea Sumbawanga Mzungu ulipata ukashindwa kujipanga

Sina urafiki wa mtoto peremende Leo mtajua siri ya kifo cha mende Mr Omollo kwa gym matembe Daddy Owen ulitotoa mbaby

Oh kila mtu lele, Oh kila mtu lele

Kwenye beat umeokoka unahubiri  Na ulifanya mimba iwe siri Mbona yangu ilikuwa hivo nikaitwa kafiri Na bado mnauliza mbona siko kwa injili

Siogopi mkisema nimeshasikia tayari Maneno hayaniwezi nimeshakuwa ngangari Natema wala kwa kila hali na shwari Muda uko salama ndio wa hatari

Mi ni stima naogopwa kama kifo Wakiskia Bahati akili zinaingia default Mi na vibe mi ndio Bob Marley Bao ya Ronaldo wakojoe walale

Mi ndio bumps mtaslow down Mi sio wa kukam mi ni born tao

Ni fikra za bahati kwenye love like this You know fam thank you for the support But I had to give you my thoughts  Before the big album "Love Like This Album"

Listen to this, stream, wait for this Best best album "Love Like This"

Video

BAHATI - FIKRA ZA BAHATI ( Official Video ) FOR SKIZA DIAL *812*818#

Thumbnail for Fikra za Bahati video
Loading...
In Queue
View Lyrics