Bahati - Fikra za Bahati Lyrics

Fikra za Bahati Lyrics

Mamako akinipenda niite baba wa kambo
Wasanii kwa uwanja nadeal nao ki Rambo
Uliza Sauti Sol founder wa kufungua label
Wakati wanasign nishadismiss kitambo

Mziki sio kiki makali kama panga
Mwisho wa maneno Ringtone nakuvisha kanga
Pole Octopizzo walikuendea Sumbawanga
Mzungu ulipata ukashindwa kujipanga

Sina urafiki wa mtoto peremende
Leo mtajua siri ya kifo cha mende
Mr Omollo kwa gym matembe
Daddy Owen ulitotoa mbaby

Oh kila mtu lele, Oh kila mtu lele

Kwenye beat umeokoka unahubiri 
Na ulifanya mimba iwe siri
Mbona yangu ilikuwa hivo nikaitwa kafiri
Na bado mnauliza mbona siko kwa injili

Siogopi mkisema nimeshasikia tayari
Maneno hayaniwezi nimeshakuwa ngangari
Natema wala kwa kila hali na shwari
Muda uko salama ndio wa hatari

Mi ni stima naogopwa kama kifo
Wakiskia Bahati akili zinaingia default
Mi na vibe mi ndio Bob Marley
Bao ya Ronaldo wakojoe walale

Mi ndio bumps mtaslow down
Mi sio wa kukam mi ni born tao

Ni fikra za bahati kwenye love like this
You know fam thank you for the support
But I had to give you my thoughts 
Before the big album "Love Like This Album"

Listen to this, stream, wait for this
Best best album "Love Like This"


Fikra za Bahati Video

Bahati Songs

Related Songs