Waebrania 2 : 17 Hebrews chapter 2 verse 17

Swahili English Translation

Waebrania 2:17

Hivyo ilimpasa kufananishwa na ndugu zake katika mambo yote, apate kuwa kuhani mkuu mwenye rehema, mwaminifu katika mambo ya Mungu, ili afanye suluhu kwa dhambi za watu wake.
soma Mlango wa 2

Hebrews 2:17

Therefore he was obligated in all things to be made like his brothers, that he might become a merciful and faithful high priest in things pertaining to God, to make atonement for the sins of the people.