Willy Paul - Bure Kabisa Lyrics
Lyrics
Mpenzi wa aina gani?(Pozzee) Unapenda nikilia lia Mpenzi wa aina gani?(Motif Di Don) Unapenda nikihuzunika
Ulidanganya unanipenda Oooii mama Ulidanganya unanijali Oooh mama
Baby go, we ni bure kabisa Umenidanganya umenivunja moyo kabisa Baby go, we ni bure kabisa Umenidanganya umenivunja moyo kabisa
Kwa marafiki nilikusifia Hata kwa adui nikakusifia Aah mnyoji dodo Banana follow
Iyo shepu wowo Bure kabisa My beiby wowo Bure kabisa
Tulikosana na mama yangu Sababu yako mpenzi wangu Nilidhani unanipendaga eeh Kumbe kila mtu anakupandaga ee
Mbona moyo wangu unauvunja mama Bila huruma Ooooh ooh...Mbona unanitesa We mama wee....mama wee
Baby go, we ni bure kabisa Umenidanganya umenivunja moyo kabisa Baby go, we ni bure kabisa Umenidanganya umenivunja moyo kabisa
Baby go!
Kwa kunivunja moyo, Bure kabisa! Oooh moyo wangu, Bure kabisa! We ni bure sana, Bure kabisa! Kwenda kabisa, Bure kabisa!
Usirudi mama, Bure kabisa! Umenichoka mama, Bure kabisa! Nimekuchoka mama, Bure kabisa! Usirudi tena....
Baby go, we ni bure kabisa Umenidanganya umenivunja moyo kabisa Baby go, we ni bure kabisa Umenidanganya umenivunja moyo kabisa
Baby go!
Video
Willy Paul - Bure Kabisa (Official Audio-VIdeo)