Walter Chilambo - Ushuhuda Lyrics
Lyrics
Nimezaliwa kwa kusudi nipo kwa kusudi Hivi nilivyo kwa kusudi nipo kwa kusudi Hata nina yopitia ni kusudi yapo kwa kusudi Majaribu yasoishaa ooh yote yapo kwa kusudi Iwe huzuni ama faraja oooh iwe kilio ama furaha ooh Iwe kupata au kupoteza aah nimepitia ili kutimiza kusudi lake
Na mimi ni ushuhuda (ushuhuda eeh) Mimi ni ushuhuda (mimi ni ushuhuda) Ooh mimi ni ushuhuda (ooh mimi ni ushuhuda) Mimi ni ushuhuda (aaiyayaa yaya yaiyaah) Ooh mimi ni ushuhuda eeh
Leo amenipa ujasiri nasimama tena. Amenipa nguvu Nimeinuka Tena amenipa kutabasamu ninacheka tena Amenipa amani ni furaha zaidi Mimi ni ushuhuda (nikutie moyo) Mimi ni ushuhuda (usikate tamaa) Sito yumbishwa na jambo lolote tena Sito babaika na kitu chochote
Iwe huzuni ama faraja oooh iwe kilio ama furaha ooh Iwe kupata au kupoteza aah nimepitia ili kutimiza kusudi lake
Na mimi ni ushuhuda (ushuhuda eeh) Mimi ni ushuhuda (mimi ni ushuhuda) Ooh mimi ni ushuhuda (ooh mimi ni ushuhuda) Mimi ni ushuhuda (aaiyayaa yaya yaiyaah) Ooh mimi ni ushuhuda eeh si tena wa zamani ayayayah Mimi ni ushuhuda (amesha nitoa kule baba) Ooh mimi ni ushuhuda (mimi ni ushuhuda) Mimi ni ushuhuda mimi ni ushuhuda Ooh mimi ni ushuhuda eeh
Video
Walter Chilambo - Ushuhuda (Official Lyric Video)