PaPi Clever & Dorcas - Je Umelisikia Jina Zuri Lyrics
Lyrics
Je, umelisikia jina zuri Jina la Mwokozi wetu? Linaimbiwa duniani pote Na katika watu wote
Yesu, jina hilo linapita Majina yote kwa uzuri Ni lenye nguvu ya kutuokoa Na hatia na makosa Yesu, jina hilo linapita Majina yote kwa uzuri Ni lenye nguvu ya kutuokoa Na hatia na makosa
Linafariji moyo wa huzuni Latutia raha kuu Katika shida na hatari huku Jina hili latulinda
Yesu, jina hilo linapita Majina yote kwa uzuri Ni lenye nguvu ya kutuokoa Na hatia na makosa Yesu, jina hilo linapita Majina yote kwa uzuri Ni lenye nguvu ya kutuokoa Na hatia na makosa
Katika giza huku jina hili Linang’aa kama nyota Lanipa utulivu na ‘hodari Siku zote hata kufa
Yesu, jina hilo linapita Majina yote kwa uzuri Ni lenye nguvu ya kutuokoa Na hatia na makosa Yesu, jina hilo linapita Majina yote kwa uzuri Ni lenye nguvu ya kutuokoa Na hatia na makosa
Majina yote yasahauliwa Ila jina lake Yesu Milele litang’aa huko juu Yesu, jina nzuri mno Majina yote yasahauliwa Ila jina lake Yesu Milele litang’aa huko juu Yesu, jina nzuri mno
Yesu, jina hilo linapita Majina yote kwa uzuri Ni lenye nguvu ya kutuokoa Na hatia na makosa
Amazina yos' aribagirana Kerets' izina rya Yesu Rizahora rimurika mw ijuru Yesu ni we zina ryiza
Yesu ni we zina rihebuje Rirut’ayandi yose mw isi Rifit' imbaraga zo kudufasha Ridukiz' ibyaha byose
Video
JE UMELISIKIA JINA ZULI(Skiza code 6930226)- PAPI CLEVER & DORCAS Ft MERCI PIANIST : MORNG WRSHP 143