Mr Seed - Upo Lyrics
Lyrics
Mr Seed again, Solomon Mkubwa
Mmmh tunakuamini daily Mmmh tunakungoja daily baba
Eeh na giza limejaa, angaza tukuone Mmmh wagonjwa wamejaa shuka uwaponye Eeh na giza limejaa, angaza tukuone eeeh wagonjwa wamejaa shuka uwaponye
Wacha wajue kwamba upo(upo) Baba upo(baba upo) Wacha wajue kwamba upo(upo) Baba upo
Wewe upo ai, Wewe upo Wewe upo mmmh Wewe upo
Watu wanakuhitaji bwana Watu wanakungoja Kanisa linakugoja Wanamuziki tunakungoja Tunataka tuone mwangaza mbele yetu
Giza limejaa, Tunahitaji tuone mwanga Wangonjwa wamejaa, wengine wanahitaji uponyaji
Oooh hakuna pesa hakuna job Wengine wanahitaji wapate kazi Tumekuamini wewe upo Mungu Kwako tegemeo letu tumelala
Akili zetu zote ni kwako bwana Wewe upo, wewe upo, wewe upo woo Tunakujua wewe upo Mungu Unatowanga watu chini unawaleta juu
Kumbuka huyu mama Anaye mgonjwa hospitalini Kumbuka familia hii Inakungoja bwana
Kanisa linakungoja Tuone mwangaza mpya Wanamuziki tunakungoja Tuone mwangaza mpya
Wewe upo, wewe upo, wewe upo
Na giza limejaa, angaza tukuone Wagonjwa wamejaa shuka uwaponye Na giza limejaa, angaza tukuone Wagonjwa wamejaa shuka uwaponye
Wacha wajue kwamba upo(upo) Baba upo(baba upo) Wacha wajue kwamba upo(upo) Baba upo
Wewe upo ai, Wewe upo Wewe upo mmmh Wewe upo
Upo Mungu wangu usiyesinzia Upo Mungu wangu unayetujua Seed, Mr Seed, unamjua kwa majina yake Oooh upo, upo oooh
Tunakuamini Mungu Hatutabaki jinsi tulivyo Maisha yako hayatabiki jinsi ulivyo Amen, Wewe Upo!
Video
MR.SEED & SOLOMON MKUBWA - UPO ( sms : SKIZA 9047809 TO 811 )