Mr Seed - Upo Lyrics

Lyrics

Mr Seed again, Solomon Mkubwa

Mmmh tunakuamini daily  Mmmh tunakungoja daily baba

Eeh na giza limejaa, angaza tukuone Mmmh wagonjwa wamejaa shuka uwaponye Eeh na giza limejaa, angaza tukuone eeeh wagonjwa wamejaa shuka uwaponye

Wacha wajue kwamba upo(upo)  Baba upo(baba upo) Wacha wajue kwamba upo(upo)  Baba upo 

Wewe upo ai, Wewe upo   Wewe upo mmmh Wewe upo

Watu wanakuhitaji bwana Watu wanakungoja Kanisa linakugoja Wanamuziki tunakungoja Tunataka tuone mwangaza mbele yetu

Giza limejaa,  Tunahitaji tuone mwanga Wangonjwa wamejaa,  wengine wanahitaji uponyaji

Oooh hakuna pesa hakuna job Wengine wanahitaji wapate kazi Tumekuamini wewe upo Mungu Kwako tegemeo letu tumelala

Akili zetu zote ni kwako bwana Wewe upo, wewe upo, wewe upo woo Tunakujua wewe upo Mungu Unatowanga watu chini unawaleta juu

Kumbuka huyu mama  Anaye mgonjwa hospitalini Kumbuka familia hii Inakungoja bwana

Kanisa linakungoja Tuone mwangaza mpya Wanamuziki tunakungoja Tuone mwangaza mpya

Wewe upo, wewe upo, wewe upo

Na giza limejaa, angaza tukuone Wagonjwa wamejaa shuka uwaponye Na giza limejaa, angaza tukuone Wagonjwa wamejaa shuka uwaponye

Wacha wajue kwamba upo(upo)  Baba upo(baba upo) Wacha wajue kwamba upo(upo)  Baba upo 

Wewe upo ai, Wewe upo   Wewe upo mmmh Wewe upo

Upo Mungu wangu usiyesinzia Upo Mungu wangu unayetujua Seed, Mr Seed, unamjua kwa majina yake Oooh upo, upo oooh

Tunakuamini Mungu Hatutabaki jinsi tulivyo Maisha yako hayatabiki jinsi ulivyo Amen, Wewe Upo!  

Video

MR.SEED & SOLOMON MKUBWA - UPO ( sms : SKIZA 9047809 TO 811 )

Thumbnail for Upo video
Loading...
In Queue
View Lyrics