Mercy Masika - Umeniweza Lyrics

Lyrics

Hadithi ya maisha yangu Imechorwa na Elshaddai Kabla dunia haijaumbwa, iliandikwa Bei imelipwa, njia imetengenezwa Hakuna tena vizuizi, tunasonga

Usiku na mchana ibada yangu haitagoma Nimeitwa na jina Mshindi asiyeshindwa Kila changamoto huwa baraka Kila chozi huhesabika Ninapojua Yesu ni wangu

Umeniweza umeniweza Nimeona uzuri wako Umeniweza umeniweza Nimeona uzuri wako

Uzima wa milele Upendo wa milele Siwezi epuka Uzima wa milele Upendo wa milele Siwezi epuka

Umeniweza umeniweza Nimeona uzuri wako Umeniweza umeniweza Nimeona uzuri wako

Neno lako limethibitisha maishani mwangu kwa sababu hii namwamini kabisa Naamini wewe upo unafanya kazi...

Video

MERCY MASIKA - UMENIWEZA { Official Music Video}

Thumbnail for Umeniweza video
Loading...
In Queue
View Lyrics