Mercy Masika - Umeniweza Lyrics
Lyrics
Hadithi ya maisha yangu Imechorwa na Elshaddai Kabla dunia haijaumbwa, iliandikwa Bei imelipwa, njia imetengenezwa Hakuna tena vizuizi, tunasonga
Usiku na mchana ibada yangu haitagoma Nimeitwa na jina Mshindi asiyeshindwa Kila changamoto huwa baraka Kila chozi huhesabika Ninapojua Yesu ni wangu
Umeniweza umeniweza Nimeona uzuri wako Umeniweza umeniweza Nimeona uzuri wako
Uzima wa milele Upendo wa milele Siwezi epuka Uzima wa milele Upendo wa milele Siwezi epuka
Umeniweza umeniweza Nimeona uzuri wako Umeniweza umeniweza Nimeona uzuri wako
Neno lako limethibitisha maishani mwangu kwa sababu hii namwamini kabisa Naamini wewe upo unafanya kazi...
Video
MERCY MASIKA - UMENIWEZA { Official Music Video}