Kidum - Nakupenda Lyrics
Lyrics
Umekuwa ukizusha Ati kwamba mimi nakucheza Ati simu zangu nikipiga huchukuwi Nashindwa ni ni mbaya nimefanya Wenye nia mbaya Hakika hawataki kutupa amani Mambo yao nikubuni hali ya sitofahamu Ili mwisho unichukiye
Saa zingine mimi uhisi nishike mtu mashali Na nianze vita Bahati mzuli Mimi si aina mtu wa ugomwi
My baby nime umbwa tu nikubembeleze Lli moyo wako unirudiye Ndiyo sababu nakupa aka kawimbo (nakupenda) Chote unataka minitatenda
Nakupenda mpenzi wangu wacha wasi wasi Ndiyo sababu nakupa aka kawinbo (nakupenda) Chote unataka minitatenda Usiwe na wasi wasi mpenzi (nakupenda) Mpenzi wangu wacha wasi wasi
Inasikitisha sana Aya mambo yakutuchonganisha Yaani mtu mzima mwenye akili timamu Anaweza aje kuwa mdaku kiyasi hicho Nimepakwa tope kwakuwekelewa thambi zote Wengine utaka nisulubiwe msalabani wapenzi lako
Wachana nao Wamejawa na wivu kwa roho zao Ma baby nimeumbwa tu nikufurahishe Mambo mengine yote ni upuuzi kwagu Hakikisho kutoka kwangu baby (nakupenda) Chote unataka minitatenda Siitaji bunge kuni tetea (nakupenda) Wala bunge la seneti Mpenzi wangu wacha wasi wasi Siitaji bunge kuni tetea (nakupenda) Chote unataka minitatenda Take it for me, take it for me (nakupenda) Mpenzi wangu wacha wasi wasi Siitaji bunge kuni tetea (nakupenda) Ohh ohh
Hakikisho kutoka kwangu (kwangu) Hili ni hakikisho
Hasema hili ni hakikisho ooh (nakupenda) Chote unataka minitatenda Chote unataka minitatenda Chote unataka minitatenda Take it for me, take it for me (nakupenda) Chote unataka minitatenda Nakupenda, nakupenda Mpenzi wangu wacha wasi wasi
Video
Kidum-Nakupenda (Official Music Video)