Kidum - Hatuachani Lyrics
Lyrics
Kama vile simba amekula akashiba (Ilogos Music yeah)
Nimpende nani kama si wewe Niende kwa nani mwingine kutafuta penzi Nimeridhika kwa penzi lako unanipa Kwanza sa macho zangu hazioni mtu mwingine
Kama vile simba amekula akashiba Sitaki mtu mwingiw wala kitu kingine
Penzi lako limenimaliza kiu Masese mwili wangu unahisi unakwisha nguvu Penzi lako limenimaliza kiu Sina ubao wa kupenda tena
Mimi nimekupenda sana kwa moyo wote Mimi na wewe hatuachani Mimi nimekupenda sana kwa moyo wote Mimi na wewe hatuachani
Hatuachani, hatuachani Mimi nawe hatuachani
Basi songea kuja karibu Karibu na mwili wangu unipe joto Mtoto uko moto
Ukinitazama ni kama unalia Na mwendo wako ni kama malkia Aki ya Mungu kweli umebarikiwa Ukinitazama nahisi kupagawa
Ukinitazama ni kama unalia Na mwendo wako ni kama malkia Aki ya Mungu kweli umebarikiwa Ukinitazama nahisi kupagawa
Penzi lako limenimaliza kiu Masese mwili wangu unahisi unakwisha nguvu Penzi lako limenimaliza kiu Sina ubao wa kupenda tena
Mimi nimekupenda sana kwa moyo wote Mimi na wewe hatuachani Mimi nimekupenda sana kwa moyo wote Mimi na wewe hatuachani
Ukinitazama ni kama unalia Na mwendo wako ni kama malkia Aki ya Mungu kweli umebarikiwa Ukinitazama nahisi kupagawa
Mimi nimekupenda sana kwa moyo wote Mimi na wewe hatuachani Mimi nimekupenda sana kwa moyo wote Mimi na wewe hatuachani
(Ilogos Music)
Video
KIDUM KIBIDO - HATUACHANI (OFFICIAL VIDEO)