Kidum - Hatuachani Lyrics

Lyrics

Kama vile simba amekula akashiba (Ilogos Music yeah)

Nimpende nani kama si wewe Niende kwa nani mwingine kutafuta penzi Nimeridhika kwa penzi lako unanipa Kwanza sa macho zangu hazioni mtu mwingine

Kama vile simba amekula akashiba Sitaki mtu mwingiw wala kitu kingine

Penzi lako limenimaliza kiu Masese mwili wangu unahisi unakwisha nguvu Penzi lako limenimaliza kiu Sina ubao wa kupenda tena

Mimi nimekupenda sana kwa moyo wote Mimi na wewe hatuachani Mimi nimekupenda sana kwa moyo wote Mimi na wewe hatuachani

Hatuachani, hatuachani Mimi nawe hatuachani

Basi songea kuja karibu Karibu na mwili wangu unipe joto Mtoto uko moto

Ukinitazama ni kama unalia Na mwendo wako ni kama malkia Aki ya Mungu kweli umebarikiwa Ukinitazama nahisi kupagawa

Ukinitazama ni kama unalia Na mwendo wako ni kama malkia Aki ya Mungu kweli umebarikiwa Ukinitazama nahisi kupagawa

Penzi lako limenimaliza kiu Masese mwili wangu unahisi unakwisha nguvu Penzi lako limenimaliza kiu Sina ubao wa kupenda tena

Mimi nimekupenda sana kwa moyo wote Mimi na wewe hatuachani Mimi nimekupenda sana kwa moyo wote Mimi na wewe hatuachani

Ukinitazama ni kama unalia Na mwendo wako ni kama malkia Aki ya Mungu kweli umebarikiwa Ukinitazama nahisi kupagawa

Mimi nimekupenda sana kwa moyo wote Mimi na wewe hatuachani Mimi nimekupenda sana kwa moyo wote Mimi na wewe hatuachani

(Ilogos Music)

Video

KIDUM KIBIDO - HATUACHANI (OFFICIAL VIDEO)

Thumbnail for Hatuachani video
Loading...
In Queue
View Lyrics