Guardian Angel - Wasamehe Lyrics

Lyrics

Wakikutolea matusi wasamehe, wasamehe Mungu anawaona wasamehe, wasamehe Wakikuonyesha chuki wasamehe, wasamehe Mungu anawaona wasamehe, wasamehe

Wanasema wasanii ni kioo cha jamii Shetani anapasua vioo vya jamii Ukijaribu kuenda juu unavutwa chini Kwake ukituliza inawafaidi nini

Kikulacho ki nguoni mwako Rafiki yako ndo adui yako Unakula naye unalala naye kwako Akitoka anasema ya kwako

Kikulacho ki nguoni mwako Rafiki yako ndo adui yako Unakula naye unalala naye kwako Akitoka anasema ya kwako

Wakikutolea matusi wasamehe, wasamehe Mungu anawaona wasamehe, wasamehe Wakikuonyesha chuki wasamehe, wasamehe Mungu anawaona wasamehe, wasamehe

----- Victor Rude Boy -----

Wakikutolea matusi wasamehe, wasamehe Mungu anawaona wasamehe, wasamehe Wakikuonyesha chuki wasamehe, wasamehe Mungu anawaona wasamehe, wasamehe

Wakikutolea matusi wasamehe, wasamehe Mungu anawaona wasamehe, wasamehe Wakikuonyesha chuki wasamehe, wasamehe Mungu anawaona wasamehe, wasamehe

Video

GUARDIAN ANGEL FT. VICTOR RUDE BOY - WASAMEHE (OFFICIAL VIDEO) skiza 5433828 to 811

Thumbnail for Wasamehe video
Loading...
In Queue
View Lyrics