Guardian Angel - Nipandishe Lyrics
Lyrics
Mbiu uya migambo ikilia kuna jambo Nami nalia kwasababu nina jambo Hali ya dunia inanionyesha mambo Njoo tembea nami hapa kando
Ee mkono wako unafikia watu kila sehemu Naomba Bwana uje unirehemu Uje unirehemu hii milima Yesu nipandishe
Eee Bwana uniinue Kwa imani nisimame Nipande milima yote Ee Bwana unipandishe
Eee Bwana uniinue Kwa imani nisimame Nipande milima yote Ee Bwana unipandishe
Ee mkono wako unafika kila pande bwana Unafika kila sehemu Unabadilisha maisha ya kila binadamu bwana Machali na mademu
Wale wamegive up kwa love na wanakuhitaji Bwana Najua utawarehemu Wahisi maisha yao yako same Ila bwana uwabadilishe
Eee Bwana uniinue Kwa imani nisimame Nipande milima yote Ee Bwana unipandishe
Eee Bwana uniinue Kwa imani nisimame Nipande milima yote Ee Bwana unipandishe
Mbele nina endelea Ninazidi kutembea Maombi uyasikie Ee Bwana unipandishe
Eee Bwana uniinue Kwa imani nisimame Nipande milima yote Ee Bwana unipandishe
Eee Bwana uniinue Kwa imani nisimame Nipande milima yote Ee Bwana unipandishe
Ukinipandisha mi nakuahidi Nitafanya, fanya kazi fanya Fanya kazi fanya, kazi ya Bwana Nitafanya, fanya kazi fanya Fanya kazi fanya, kazi ya Bwana
Ukiniinua mimi nita Nitafanya, fanya kazi fanya Fanya kazi fanya, kazi ya bwana Nitafanya, fanya kazi fanya Fanya kazi fanya, kazi ya bwana
Video
GUARDIAN ANGEL NIPANDISHE - DANCE VIDEO (skiza 5433829 to 811)