Guardian Angel - Nipandishe Lyrics

Lyrics

Mbiu uya migambo ikilia kuna jambo Nami nalia kwasababu nina jambo Hali ya dunia inanionyesha mambo Njoo tembea nami hapa kando

Ee mkono wako unafikia watu kila sehemu Naomba Bwana uje unirehemu Uje unirehemu hii milima Yesu nipandishe

Eee Bwana uniinue Kwa imani nisimame Nipande milima yote Ee Bwana unipandishe

Eee Bwana uniinue Kwa imani nisimame Nipande milima yote Ee Bwana unipandishe

Ee mkono wako unafika kila pande bwana Unafika kila sehemu Unabadilisha maisha ya kila binadamu bwana Machali na mademu

Wale wamegive up kwa love na wanakuhitaji Bwana Najua utawarehemu Wahisi maisha yao yako same Ila bwana uwabadilishe

Eee Bwana uniinue Kwa imani nisimame Nipande milima yote Ee Bwana unipandishe

Eee Bwana uniinue Kwa imani nisimame Nipande milima yote Ee Bwana unipandishe

Mbele nina endelea Ninazidi kutembea Maombi uyasikie Ee Bwana unipandishe 

Eee Bwana uniinue Kwa imani nisimame Nipande milima yote Ee Bwana unipandishe

Eee Bwana uniinue Kwa imani nisimame Nipande milima yote Ee Bwana unipandishe

Ukinipandisha mi nakuahidi Nitafanya, fanya kazi fanya Fanya kazi fanya, kazi ya Bwana Nitafanya, fanya kazi fanya Fanya kazi fanya, kazi ya Bwana

Ukiniinua mimi nita Nitafanya, fanya kazi fanya Fanya kazi fanya, kazi ya bwana Nitafanya, fanya kazi fanya Fanya kazi fanya, kazi ya bwana

Video

GUARDIAN ANGEL NIPANDISHE - DANCE VIDEO (skiza 5433829 to 811)

Thumbnail for Nipandishe video
Loading...
In Queue
View Lyrics