Guardian Angel - Kosi Lyrics
Lyrics
Nakupa kosi futa machozi Unitulize, unitulize, unitulize Nakupa kosi futa machozi Unitulize, unitulize, unitulize
(Teddy B)
Moyo wangu unawaka moto Wale wenye roho ngumu ka kokoto Wanataka mimi niangamie, nipotelee Bwana nichunge kama mtoto
Andaa meza mbele ya adui zangu Nile ninywe, nitulie, nikutumikie Mi nikuishie, mi nikukimbilie Milele kwa hekalu lako nikuhudumie
Andaa meza mbele ya adui zangu Nile ninywe, nitulie, nikutumikie Mi nikuishie, mi nikukimbilie Milele kwa hekalu lako nikuhudumie
Nakupa kosi futa machozi Unitulize, unitulize, unitulize Nakupa kosi futa machozi Unitulize, unitulize, unitulize
Majaribu ni mengi Stress iko nyingi Matatizo ni mengi Grace nipe nyingi
Unishike mkono Bwana Nishike mkono Bwana
Majaribu ni mengi Stress iko nyingi Matatizo ni mengi Grace nipe nyingi
Unishike mkono Bwana Nishike mkono Bwana
Baba naomba, nishike mkono Bwana naomba, nishike mkono Yesu naomba, nishike mkono Nishike mkono
Ukiniacha nitaangamia, nishike mkono Ukiniacha nitapotelea, nishike mkono Ukiniacha nitaangamia, nishike mkono Baba naomba, nishike mkono
Nakupa kosi futa machozi Unitulize, unitulize, unitulize Nakupa kosi futa machozi Unitulize, unitulize, unitulize
Video
GUARDIAN ANGEL ~ KOSI (OFFICIAL VIDEO)