Goodluck Gozbert - Samehe Lyrics
Lyrics
Umekaa mwenyewe tu, unawaza na kuwazua Mwili ukonde wenzako wanatanua aah Ona huyo eeh, ndani imepotea eeh Bora usonge maana muda unapotea eeh
Wewe si wa kwanza aliyekutenda eeh Vile uko na uzima shukuru muumba eeh Mwingine si alisema ukimsaidia ana moyo Mbona ni mapema yabadilikia machoni pako
Umejua tenda wema, tenda wema nenda Umejua tenda wema, tenda wema nenda, yatosha
Wakiona wakuache, sawa sawa Wakiona wakucheke, sawa sawa Wakiona wakuache, sawa sawa Wakiona wakucheke, sawa sawa Vile kama buko uusitose achilia bwana
Basi samehe, samehe, samehe samehe Basi samehe, samehe, samehe samehe
Wabaya ni wao, shetani anasingiziwa sana Ndani yao, amechagua kuamua mwenyewe Wabaya wapo, wapo tena wanasikia raha Mungu yuko, yuko shetani ---
Na mwingine si alisema Ukimsaidia ana moyo Mbona ni mapema Kabadilikia machoni pako
Umejua tenda wema, tenda wema nenda Umejua tenda wema, tenda wema nenda, yatosha
Wakiona wakuache, sawa sawa Wakiona wakucheke, sawa sawa Wakiona wakuache, sawa sawa Wakiona wakucheke, sawa sawa Vile kama buko uusitose achilia bwana
Basi samehe, samehe, samehe samehe Basi samehe, samehe, samehe samehe
Video
Samehe