Goodluck Gozbert - Samehe Lyrics

Lyrics

Umekaa mwenyewe tu, unawaza na kuwazua Mwili ukonde wenzako wanatanua aah Ona huyo eeh, ndani imepotea eeh Bora usonge maana muda unapotea eeh

Wewe si wa kwanza aliyekutenda eeh Vile uko na uzima shukuru muumba eeh Mwingine si alisema ukimsaidia ana moyo Mbona ni mapema yabadilikia machoni pako

Umejua tenda wema, tenda wema nenda Umejua tenda wema, tenda wema nenda, yatosha

Wakiona wakuache, sawa sawa Wakiona wakucheke, sawa sawa Wakiona wakuache, sawa sawa Wakiona wakucheke, sawa sawa Vile kama buko uusitose achilia bwana

Basi samehe, samehe, samehe samehe Basi samehe, samehe, samehe samehe

Wabaya ni wao, shetani anasingiziwa sana  Ndani yao, amechagua kuamua mwenyewe Wabaya wapo, wapo tena wanasikia raha Mungu yuko, yuko shetani ---

Na mwingine si alisema Ukimsaidia ana moyo Mbona ni mapema Kabadilikia machoni pako 

Umejua tenda wema, tenda wema nenda Umejua tenda wema, tenda wema nenda, yatosha

Wakiona wakuache, sawa sawa Wakiona wakucheke, sawa sawa Wakiona wakuache, sawa sawa Wakiona wakucheke, sawa sawa Vile kama buko uusitose achilia bwana

Basi samehe, samehe, samehe samehe Basi samehe, samehe, samehe samehe

Video

Samehe

Thumbnail for Samehe video
Loading...
In Queue
View Lyrics