Goodluck Gozbert - Samehe Lyrics

Contents:

Samehe Lyrics

Umekaa mwenyewe tu, unawaza na kuwazua
Mwili ukonde wenzako wanatanua aah
Ona huyo eeh, ndani imepotea eeh
Bora usonge maana muda unapotea eeh

Wewe si wa kwanza aliyekutenda eeh
Vile uko na uzima shukuru muumba eeh
Mwingine si alisema ukimsaidia ana moyo
Mbona ni mapema yabadilikia machoni pako

Umejua tenda wema, tenda wema nenda
Umejua tenda wema, tenda wema nenda, yatosha

Wakiona wakuache, sawa sawa
Wakiona wakucheke, sawa sawa
Wakiona wakuache, sawa sawa
Wakiona wakucheke, sawa sawa
Vile kama buko uusitose achilia bwana

Basi samehe, samehe, samehe samehe
Basi samehe, samehe, samehe samehe

Wabaya ni wao, shetani anasingiziwa sana 
Ndani yao, amechagua kuamua mwenyewe
Wabaya wapo, wapo tena wanasikia raha
Mungu yuko, yuko shetani ---

Na mwingine si alisema
Ukimsaidia ana moyo
Mbona ni mapema
Kabadilikia machoni pako 

Umejua tenda wema, tenda wema nenda
Umejua tenda wema, tenda wema nenda, yatosha

Wakiona wakuache, sawa sawa
Wakiona wakucheke, sawa sawa
Wakiona wakuache, sawa sawa
Wakiona wakucheke, sawa sawa
Vile kama buko uusitose achilia bwana

Basi samehe, samehe, samehe samehe
Basi samehe, samehe, samehe samehe


Goodluck Gozbert Songs

Related Songs