Goodluck Gozbert - Neno Lyrics
Lyrics
Neno, Neno, Neno, Neno Neno, Neno, Neno, Neno Neno, Neno, Neno, Neno Neno, Neno, Neno, Neno
Niongoze hatua zangu neno Nipate kukulika nami tu Ukiniruhusu hayo majaribu Nisome na nipate na majibu
Nimekuamini, wewe mshindi duniani Nimekuamini, unatawala mbinguni
Eeh nikilijua neno, neno Maisha ya amani, amani Nikilijua neno, neno Maisha ya amani, amani
Nifunikwe na neno Niishi neno Litimie neno Tembea neno, neno
Nifunikwe na neno Liwe neno Neno neno, neno
Dunia hii dunia hii Yauona hii, Dunia hii duniaa hii Utapeli hii
Nikifunikwa kwa neno kuna uzima Nikiongozwa na neno kuna kufika Eeh kwako salama, ni salama Kwingine ni vita oh ni vita Njia zako salama Yesu, ooh salama Kwingine ni vita oh ni vita
Ila upendo wako kanitosha Nguvu zako nia fika Neno hausemi uongo wewe ni uhai Tena haubadiliki
Eeh nikilijua neno, neno Maisha ya amani, amani Nikilijua neno, neno Maisha ya amani, amani
Nifunikwe na neno Niishi neno Litimie neno Tembea neno, neno
Nifunikwe na neno Liwe neno Neno neno, neno
Dunia hii dunia hii Yauona hii, Dunia hii duniaa hii Utapeli hii
Video
Neno