Goodluck Gozbert - Neno Lyrics

Lyrics

Neno, Neno, Neno, Neno Neno, Neno, Neno, Neno Neno, Neno, Neno, Neno Neno, Neno, Neno, Neno

Niongoze hatua zangu neno Nipate kukulika nami tu Ukiniruhusu hayo majaribu Nisome na nipate na majibu

Nimekuamini, wewe mshindi duniani Nimekuamini, unatawala mbinguni

Eeh nikilijua neno, neno Maisha ya amani, amani Nikilijua neno, neno Maisha ya amani, amani

Nifunikwe na neno Niishi neno Litimie neno Tembea neno, neno

Nifunikwe na neno Liwe neno Neno neno, neno

Dunia hii dunia hii Yauona hii,  Dunia hii duniaa hii Utapeli hii

Nikifunikwa kwa neno kuna uzima Nikiongozwa na neno kuna kufika Eeh kwako salama, ni salama Kwingine ni vita oh ni vita Njia zako salama Yesu, ooh salama Kwingine ni vita oh ni vita

Ila upendo wako kanitosha Nguvu zako nia fika Neno hausemi uongo wewe ni uhai Tena haubadiliki

Eeh nikilijua neno, neno Maisha ya amani, amani Nikilijua neno, neno Maisha ya amani, amani

Nifunikwe na neno Niishi neno Litimie neno Tembea neno, neno

Nifunikwe na neno Liwe neno Neno neno, neno

Dunia hii dunia hii Yauona hii,  Dunia hii duniaa hii Utapeli hii  

Video

Neno

Thumbnail for Neno video
Loading...
In Queue
View Lyrics