Goodluck Gozbert - Mambo Bado Lyrics
Lyrics
Cheza tukuone, sikupoa Kule niliko aah, Mungu katenda Tade tade siko sawa Mungu wangu amenikumbuka
Hivi ni nani? Angeju, angejua Mimi ningeku ningekuwa Nani angeo angeona Yale Mungu angete angetenda
Kumbe walijua mimi Nimemalizana na Mungu (Mambo bado) Akitoka alinyamaza tu (Mambo bado) Kumbe walijua mimi Nimemalizana na Mungu (Mambo bado) Akitoka alinyamaza tu (Mambo bado)
Napigia marafiki sasa Message kwa sana Hangaika sana na sikujibiwa Nikaomba sana walicheka sana Ila leo bwana amenikumbuka
Nashukuru shukuru haukuzima moyo Kwenye mapito nilikuona bado Nimesamehe maadui wangu Sasa najua kwenye kupata pia kukosa Bado Mungu ni Mungu Tena najua kila mshindi anapambana Ni lazima ashinde eeh
Na wale wanajua wewe umemalizana na Mungu (Mambo bado) Akitoka alinyamaza tu (Mambo bado) Wale wanajua wewe umemalizana na Mungu (Mambo bado) Hajatoka amenyamaza tu (Mambo bado)
Wale wanajua wewe umemalizana na Mungu (Mambo bado) Hajakuacha amenyamaza tu (Mambo bado) Wale wanajua wewe umemalizana na Mungu (Mambo bado) Bado bado bado bado bado (Mambo bado)
Lia nalia, nalia nalia Lia nalia, nalia nalia ..
Ukitembelewa mabuti wataku Upatane na Mungu, wao wakiteta Sio mabeste mabosi Wakati wanafeki, kwenye cash forget Watu sio watu
Video
Mambo Bado