Goodluck Gozbert - Mambo Bado Lyrics

Lyrics

Cheza tukuone, sikupoa Kule niliko aah, Mungu katenda Tade tade siko sawa Mungu wangu amenikumbuka

Hivi ni nani? Angeju, angejua Mimi ningeku ningekuwa Nani angeo angeona Yale Mungu angete angetenda

Kumbe walijua mimi  Nimemalizana na Mungu (Mambo bado) Akitoka alinyamaza tu (Mambo bado) Kumbe walijua mimi  Nimemalizana na Mungu (Mambo bado) Akitoka alinyamaza tu (Mambo bado)

Napigia marafiki sasa Message kwa sana Hangaika sana na sikujibiwa Nikaomba sana walicheka sana Ila leo bwana amenikumbuka

Nashukuru shukuru haukuzima moyo Kwenye mapito nilikuona bado Nimesamehe maadui wangu Sasa najua kwenye kupata pia kukosa Bado Mungu ni Mungu Tena najua kila mshindi anapambana Ni lazima ashinde eeh

Na wale wanajua wewe umemalizana na Mungu (Mambo bado) Akitoka alinyamaza tu (Mambo bado) Wale wanajua wewe umemalizana na Mungu (Mambo bado) Hajatoka amenyamaza tu (Mambo bado)

Wale wanajua wewe umemalizana na Mungu (Mambo bado) Hajakuacha amenyamaza tu (Mambo bado) Wale wanajua wewe umemalizana na Mungu (Mambo bado) Bado bado bado bado bado (Mambo bado)

Lia nalia, nalia nalia  Lia nalia, nalia nalia ..

Ukitembelewa mabuti wataku Upatane na Mungu, wao wakiteta Sio mabeste mabosi Wakati wanafeki, kwenye cash forget Watu sio watu

Video

Mambo Bado

Thumbnail for Mambo Bado video
Loading...
In Queue
View Lyrics