Zabron Singers - Akida Lyrics
Lyrics
Namtafuta bwana, yule yule wa ushindi Mi ndo peke najua, wapi aliponitoa Nina historia uzoefu wa ushindi Kwa macho nimeona, mungu alivyonibeba From zero to hero, from nothing to something Name leo ni mtu, katikati ya watu Hakuna kama mungu, alitamka ikawa ikatokea Umbali tumefika, ni huyu yesu Asingekuwa mungu, tusingefika hapa Nami kama akida bwana ukisema neno tu Hapa nilipo, shida zangu zitakomaa Yani kama akida, bwana utamke neno tu, hebu sema neno Hapa nilipo, shida zangu zitakomaa
Nami kama akida bwana ukisema neno tu Hapa nilipo, shida zangu zitakomaa Ee yani kama akida, bwana utamke neno tu, hebu sema neno Hapa nilipo, shida zangu zitakomaa
Zitakoma; shida zangu zatakoma sema neno Hapa nilipo, shida zangu zitakomaa Zitakoma; shida zangu zatakoma bwana sema neno Hapa nilipo ee hapa nilipo Bwana hapa nilipo ee yesu hapa nilipo Shida zangu zitakoma Akida aliishi na mtumwa aliyempenda Akaugua kiasi cha atakufa Akatuma wazee wamuite yesu Aje nyumbani mwake Ee alipotuma wazee wamuite yesu nyumbani kwake aje Ili amponye huyu mtumwa wake Kabla afike tena katuma wajumbe Yesu wala usisumbue kutika nyumbani kwa akida Sema neno tu hapo ulipo Na mtumwa atapona Yesu akaugeukia mkutano Kawaambia sijaona, israeli jii yote sijaona Imani kubwa kama hii Walipofika nyumbani kule Nyumbani kwa yule akida Walimkuta mtumwa yule Tayari kashapona Nami kama akida bwana ukisema neno tu Hapa nilipo, shida zangu zitakomaa
Yani kama akida, bwana utamke neno tu, hebu sema neno Hapa nilipo, shida zangu zitakomaa Nami kama akida bwana ukisema neno tu Hapa nilipo, shida zangu zitakomaa
Ee yani kama akida, bwana utamke neno tu, hebu sema neno Hapa nilipo, shida zangu zitakomaa Zitakoma; shida zangu zatakoma sema neno Hapa nilipo, shida zangu zitakomaa
Video
AKIDA by Zabron Singers (Official Music Video)