Willy Paul - Nishikilie Lyrics

Album: Nishikilie - Single
Released: 09 Mar 2019
iTunes Amazon Music

Lyrics

Oooh nitaweka kifuani mwangu Oooh Pozee

Oooh beiby, nimekupenda kwa ndani Nikupeleke Mombasa kwa Joho Ukakule na raha mama

Michezo ya zigizigi  Ya kiwiliwili mama Utapenda cherie oooh Nitapojikaza mmmh

Nikaribie nikweleze Navyohisi moyoni mwangu baby Baby ukinitouch, mi napigwa na butwaa

Tukigombana mi napatwa na huzuni Ukiniacha mie, nitaumia moyoni  Njoo nikugawie, nikugurumishe Oooh beiby, nikugawie, nikugurumishe

Ooh Basi mie, nikumbatie nishikilie Deka kifuani mwangu, nikumbatie nishikilie  Lala kifuani mwangu, nikumbatie nishikilie Deka kifuani mwangu, nikumbatie nishikilie Lala kifuani mwangu

Kama moyo ungekuwa kitabu, ningekupa usome Kama moyo ungekuwa kitabu, ningekupa usome

Basi unipe majigijigi nijigi jigi Twende wote mama Michezo ya zigizigi ya kiwiliwili Twende wote mama

Ah leo nipe majigijigi nijigi jigi Twende wote mama Michezo ya zigizigi ya kiwiliwili Twende wote mama

Basi mie, nikumbatie nishikilie Deka kifuani mwangu, nikumbatie nishikilie Lala kifuani mwangu, nikumbatie nishikilie Deka kifuani mwangu, nikumbatie nishikilie

Isiulizwe madoido lolo Ni mwendo ule ule eeh Na jinsi navyopenda ulivyo Ni mwendo ule ule eeh

Oooh my darling mwendo ni ule Yeah yeah yeah, umenikosha roho Ni mwendo oooh

Mambo bado, my hunny ooh My beiby my sweety potato My hunny ooh, my hunny eeh Ni mwendo oooh

Maah aah, maneno ni ile ile eeh

My sweetie ooh, nikumbatie nishikilie Lala kifuani mwangu,oooh ooh ooh Mwendo wa kinyonga, ooh ooh yeah

Ali ooh, Ali yoyo(yeah baba eeh) Alright, eeyoo Willy Pozee(Pozee) Dimpoz pozi pozi(Pause kwa mapozi)

Nikumbatie, unishikilie Kifuani mwangu

Video

Nishikilie by willy paul ft alikiba

Thumbnail for Nishikilie video
Loading...
In Queue
View Lyrics