Pitson - Utanifikia Lyrics

Lyrics

Eh eh, eeeh eeh eh  Eh eh, eeeh eeh eh  Eh eh, eeeh eeh eh  Eh eh, eeeh eeh eh 

Eh eh, eeeh eeh eh  Eh eh, eeeh eeh eh  Eh eh, eeeh eeh eh  Eh eh, eeeh eeh eh 

Naje ningezaliwa kwa nchi isiyokujua Nikikutaja tu wananiua Kubeba kitabu chako baba ikuwe hatia Ungenifikia, ungenifikia 

Na vile nimeonja uzuri wako sasa najua Na vile nimeonja upendo wako sasa najua Ungenifikia, we ni baba ungenifikia  Ungenifikia, we ni baba 

Niteleze, nianguke Nikosee eh na nichafuke Utanifikia, utanifikia Utanifikia, utanifikia

Niteleze, nianguke Nikosee eh na nichafuke Utanifikia, utanifikia Utanifikia, utanifikia

Na je ningependana na mpenzi asiyekujua Nikose wakati wako Baba ameshachukua Kubeba kitabu chako Baba ikuwe ushamba Ungenifikia, ungenifikia 

Na vile nimeonja uzuri wako sasa najua Na vile nimeonja upendo wako sasa najua Ungenifikia, we ni baba ungenifikia  Ungenifikia, we ni baba 

Niteleze, nianguke Nikosee eh na nichafuke Utanifikia, utanifikia Utanifikia, utanifikia

Niteleze, nianguke Nikosee eh na nichafuke Utanifikia, utanifikia Utanifikia, utanifikia

Niteleze, nianguke Nikosee eh na nichafuke Utanifikia, utanifikia Utanifikia, utanifikia

Niteleze, nianguke Nikosee eh na nichafuke Utanifikia, utanifikia Utanifikia, utanifikia

Video

UTANIFIKIA BY PITSON (LIVE VERSION) SKIZA 76310140

Thumbnail for Utanifikia video
Loading...
In Queue
View Lyrics