Pitson - Utanifikia Lyrics
Lyrics
Eh eh, eeeh eeh eh Eh eh, eeeh eeh eh Eh eh, eeeh eeh eh Eh eh, eeeh eeh eh
Eh eh, eeeh eeh eh Eh eh, eeeh eeh eh Eh eh, eeeh eeh eh Eh eh, eeeh eeh eh
Naje ningezaliwa kwa nchi isiyokujua Nikikutaja tu wananiua Kubeba kitabu chako baba ikuwe hatia Ungenifikia, ungenifikia
Na vile nimeonja uzuri wako sasa najua Na vile nimeonja upendo wako sasa najua Ungenifikia, we ni baba ungenifikia Ungenifikia, we ni baba
Niteleze, nianguke Nikosee eh na nichafuke Utanifikia, utanifikia Utanifikia, utanifikia
Niteleze, nianguke Nikosee eh na nichafuke Utanifikia, utanifikia Utanifikia, utanifikia
Na je ningependana na mpenzi asiyekujua Nikose wakati wako Baba ameshachukua Kubeba kitabu chako Baba ikuwe ushamba Ungenifikia, ungenifikia
Na vile nimeonja uzuri wako sasa najua Na vile nimeonja upendo wako sasa najua Ungenifikia, we ni baba ungenifikia Ungenifikia, we ni baba
Niteleze, nianguke Nikosee eh na nichafuke Utanifikia, utanifikia Utanifikia, utanifikia
Niteleze, nianguke Nikosee eh na nichafuke Utanifikia, utanifikia Utanifikia, utanifikia
Niteleze, nianguke Nikosee eh na nichafuke Utanifikia, utanifikia Utanifikia, utanifikia
Niteleze, nianguke Nikosee eh na nichafuke Utanifikia, utanifikia Utanifikia, utanifikia
Video
UTANIFIKIA BY PITSON (LIVE VERSION) SKIZA 76310140