Pitson - Tujenge Lyrics
Lyrics
Ndege wako na mahali pa kuenda jioni Wanyama wa porini, jua likitua pangoni Samaki wa majini, wana makao baharini Wako mpangoniii..
Na kuna mkenya hana nyumba mahali(wooo) Na zile ziko hawezi kumudu, bei ghali Analilia serikaliii Ategemea serikaliii
Tuanzeni kujenga Watoto wetu wasikose mahali pa kwenda Chukua mawe na simiti weka kwa mabega
Tunajenga aaaah Tunajenga aaaah Aaah...muanze tujenge Aaah...tujenge Aaah...tujenge
Kukinyesha tusinyeshewe tuwe salama Serikali kaingilia kapunguza gharama Today is finally here, tunahama
Finally usalama kwa wote(kwa wote) Hata yule mapato ni duni malazi yu apata(apara) Sisi wanaKenya tunajijenga
Tuanzeni kujenga Watoto wetu wasikose mahali pa kwenda Chukua mawe na simiti weka kwa mabega
Tunajenga aaaah Tunajenga aaaah
The journey starts With you and with me(mi na we) Freedom is here beautiful day (Beautiful day)
Mimi na wewe ndio wenye nchi Tujenge pamoja
Tuanzeni kujenga Watoto wetu wasikose mahali pa kwenda Chukua mawe na simiti weka kwa mabega
Tunajenga aaaah Tunajenga aaaah
Tuanzeni kujenga Watoto wetu wasikose mahali pa kwenda Chukua mawe na simiti weka kwa mabega
Tunajenga aaaah Tunajenga aaaah
Tuanzeni kujenga Watoto wetu wasikose mahali pa kwenda Chukua mawe na simiti weka kwa mabega
Tunajenga aaaah Tunajenga aaaah
Tuanzeni kujenga Watoto wetu wasikose mahali pa kwenda Chukua mawe na simiti weka kwa mabega
Tunajenga aaaah Tunajenga aaaah
Video
Tujenge - Pitson & Mercy Masika (Official Music Video) #AffordableHousing