Sifa Lyrics

Damu Yako Yenye Baraka by PaPi Clever & Dorcas cover art

PaPi Clever & Dorcas - Damu Yako Yenye Baraka Lyrics

Artist:
PaPi Clever & Dorcas
Album:
AMENIWEKA HURU KWELI (Nyimbo za wokovu) ALBUM 2
Official Release:
30 Jun 2023

Lyrics

Damu yako yenye baraka inayo tuosha makosa
Ilitoka msalabani, Bwana Yesu, ulipokufa
Nastahili ‘pata hukumu, na siwezi mimi kujiosha
Unioshe katika damu nipate kuwa safi kabisa


Safi, safi kweli, safi, safi kweli
Unioshe katika damu, nipate kuwa safi kabisa
Safi, safi kweli, safi, safi kweli
Unioshe katika damu, nipate kuwa safi kabisa


Yesu, ulivikwa miiba, kuangikwa juu ya mti
Ulivumilia mateso, maumivu na majeraha
Ninataka kijito hicho, n’ende na nikasafishwe sana
Unioshe katika damu, nipate kuwa safi kabisa


Safi, safi kweli, safi, safi kweli
Unioshe katika damu, nipate kuwa safi kabisa
Safi, safi kweli, safi, safi kweli
Unioshe katika damu, nipate kuwa safi kabisa


Baba, kweli nina makosa, moyo wangu wa udhaiffu
Mimi mwenye dhambi rohoni nitaona wapi Mwokozi?
Yesu, kwako msalabani naja, ninakuamini sasa
Unioshe katika damu,, nipate kuwa safi kabisa


Safi, safi kweli, safi, safi kweli
Unioshe katika damu, nipate kuwa safi kabisa
Safi, safi kweli, safi, safi kweli
Unioshe katika damu, nipate kuwa safi kabisa


Bwana, nimefika karibu, unilinde kwako milele
Ufungue kila kikamba, unijaze moyo mwenyewe
Na karibu ya msalaba nitakaa hata kufa kwangu
Unioshe katika damu, nipate kuwa safi kabisa


Safi, safi kweli, safi, safi kweli
Unioshe katika damu, nipate kuwa safi kabisa
Safi, safi kweli, safi, safi kweli
Unioshe katika damu, nipate kuwa safi kabisa
Unioshe katika damu, nipate kuwa safi kabisa
Unioshe katika damu, nipate kuwa safi kabisa


Video