Nyashinski - Top Form Lyrics
Lyrics
Mwaka mzima hakuna show Sa unatakaje? (Sa unatakaje) Ka ki cookie rent haishuki Na mi ni mzazi vitu sihitaji Vitu sihitaji zinafeel stupid So sikupi mziki huhitaji Kwa ufupi chini sistuki Mimi niko juu vile huwezi imagine
Watu wanataka hope niitoe wapi? Mi mwenyewe nashangaa hii row Najua kutaendaje? Vitu ka mng'aro kwanza nishatoa kwa budget Sijali kwa gram hizo mapicha zitatokaje Madeni za masupplier Grown men sa wanagwaya Pia mi naomba nipeeni chance ka KEMSA wanahire
Ulimjudge sa unamwita mentor ju kuna pesa kwa umalaya Shingo inameremeta nakaa influencer wa mawaya Mi huwa na simu ukiniita bash nakuja na till Na look inaclash na sura ya ndimu Na watu mnatrust ni watu naheshimu Ka kuna cash ndo nashika simu Ka niko works nakuwanga mashini Nalipa tax na nalipa bill Ndio maana ni black alafu iyasin
Hawa mayoungin' wananeed mentorship More than wananeed censorship Kwa street mi ni evangelist Wanaserve tea mi naserve confidence Success si by accident Na usifocus ie on past events Na rulebook jua tu must ibent Na goodbooks si I don't judge me men
Kwa top 3 mi ni number 1 2 3 Ofcourse hii city iko na love for me Na approach hii kitu kama destiny Masoftie ndo huwaga waloud viziii
Ka hunioni hata mi sikuoni But haifiki jioni ka huniskii redioni Mi ni ka news we hata na miwani Bado na binocular bado mi sikuoni
Paid my dues, kwa lifestyle socials ni headline news Hakufai kuwa na jam nilkiheadline shows Grown ass men complain like hoes Ku sign wasanii hakuna haina deadline bro I'll do it when I do it
Mwaka mzima hakuna show, acha tuziashe Kilimanjaro tu ndo itapita hii highness Ama collabo kati ya mi na South C finest (R.I.P) Ata kwa mtaro utanipata na designer
Acha tuziashe Kilimanjaro tu ndo itapita hii highness For my people I do whatever I can...
Video
Nyashinski - Top Form (Official Audio)