Nyashinski - Goals Lyrics

Lyrics

Penye nia panafaa kuwa na njia Hapa iko nia but manjia but zimefungwa na curfew Na by the time jua inatokea 2 Billion imeshapotea

Watu wako hopeless BIla IG tuko jobless Mtoto ni mzazi atalea Ama msanii ndo ataambiwa Ni lazima akasafishe content

2022 hatutaki tricks Na ugali wanabonya tunataka piece Gang signs za mayolo natupapa ease Lunch time after kikolo na kajapanese

Unaenda lap naenda biz Mindset nishalock success iko na keys Fame iko na pressure fam iko na needs Kwenyu kunanyesha kwetu kuna trees

Hii shit sa ni do or die Hii rap ndo inafungua milango Itafungua za Lambo Iko so close naeza ionja  Na hio taste ni familiar Ka kuchonga nishakushow nina kismat mi walai

Najichocha Jah Jah najua size ile inanitosha Niko hapa nakungoja ni ka pep ndo kocha

Nimeingia hii mwaka na goals Ah siku hizi sikai ka nadoz Mi ni sniper na flows Mingi style na mapoz Nyi ni macustomer Natry kustack hio bread I need a slice of tha loaf Watu silike ni matoast Kitu silike ni kuwa broke

Jiji imejaa mapinji But si lazima ukuwe pinji ndo umake it Na nimekam kuiprove ngoja ucheki bado na improve Ni vile tu leo mnajifanya ni ka hamnijui Kesho mtani tafuta ka P2 We uko mtaani si hapa kazi tu Hii ni Ukoo flani iko na Calif juu

Ka nitakuwa nimewacha kurap Jua niko mahali nanunua Bentely Kwa show nawacha watu wakiclap After niko mahali narelax nikiziseti

Nusu kilo kwa dash hio nusu ingine ni taxin 50 percent ilikuja nikashika bag  Bila vijiti ama mbegu Hio ingine nikaweka kwa benki

Kiu ya shida iko na watu wengi Kiu ya kushinda ni ka ya kudenki Queen ana figa na sura fine Thank You Shin huwaga stima wah kudadadeki

Mi huuwa keeper nakufa na beki Nina uhakika nitashika senti Nani anasema siwezi nafeel ka Gadama Messi 

Nimeingia hii mwaka na goals

Nimeingia hii mwaka na goals Ah siku hizi sikai ka nadoz Mi ni sniper na flows Mingi style na mapoz Nyi ni macustomer Natry kustack hio bread I need a slice of tha loaf Watu silike ni matoast Kitu silike ni kuwa broke

I keep my eyes open Never let the other side know So we never know never know never Show emotions, never know never know never

Video

Nyashinski - Goals (Official Audio)

Thumbnail for Goals video
Loading...
In Queue
View Lyrics