Nyashinski - Properly Lyrics
Lyrics
Hallo! (Cedo) Hallo! Kama we ni mwenyeji (Mmmh mmh) We ni mwenyeji (Hallo) Kama we si mwenyeji (Mmmh mmh) Mind your business
Ka unataka ule anaichapa mpaka ilale Basi harakisha njoo na Nyumba inanukia shasha money Usitume nini kwa floor na
Msupa ako mood ya ladha gane Tunaeza enda fasta au slow baby Naiva nikiskia ma Bob Marley Nikitafta plan ya doh, yeah
Hatuanzishi vita tunamaliza Nani ukiniita tuma mamita Hao ma lip syncher wanawaingiza Napanda stage ju naona miujiza
Originator, baba wa keja Wananitii wananiiga Nilikuwa nachoma mpaka kwa filter Ka bado uko ushago, hallo
Life iko order Mpaka ukweli inasound unachocha Vile naifanya sio hoja Huku East si ni si tunazoza Tunaifanyanga, proper (Proper) Proper (Proper) Properly Tunaifanyanga, proper (Proper) Proper (Proper) Properly Tunaifanyaga
Sikudai number 2 wakanichuja daro So nikajenga shule waje walipe karo Sai mi ndio speaker Frank Ole Kaparo Matutor zinapiga ki Usman Kamaru
Kwa fam ya kipunk sikutoka So fam ya kipunk itatoka kwa mimi Amini ni jasho na damu zinatoka Nikiroga hii injili naitreat kama dini
Sai ma divai zinakuja na mzinga Wananidai na ni juzi waliringa Mungu akisense unajua huwezi pinga Odds ziko right mi sichezi na tinga
Okay! Ki Femi kijembe kikali Bila budi inabidi wakubali Watajali ujue nani hakujali Hii maisha ni kali naichase na makali
Life iko order Mpaka ukweli inasound unachocha Vile naifanya sio hoja Huku East si ni si tunazoza Tunaifanyanga, proper (Proper) Proper (Proper) Properly Tunaifanyanga, proper (Proper) Proper (Proper) Properly Tunaifanyaga
Guess nani ako in the zone (Aje) Na anafeel right at home (Aje) Utajua nilikuwa kwa chuom (Aje) Na harufu ya cologne (Ssaru)
Na sijawahi kosaga form (Sare) Last year niliuza maphone (Sare) Jana niliota naperform (Sare) Na kabla ya kuota niliperform huh
Short na uliknow kwa cliff Kabla ujue mambo ya drone Blunder imejaa na Keith Nadry ni ka na clone
Mkiuliza nana ni gwiji hapa Mi naskianga ka mnanikosea heshima Hamwezi nipima, hamwezi nizima Na nimeingia naskia wananiambia?
Life iko order Mpaka ukweli inasound unachocha Vile naifanya sio hoja Huku East si ni si tunazoza Tunaifanyaga, proper (Proper) Proper (Proper) Properly Tunaifanyanga, proper (Proper) Proper (Proper) Properly Tunaifanyaga
Life iko order Mpaka ukweli inasound unachocha Vile naifanya sio hoja Huku East si ni si tunazoza Tunaifanyaga, proper (Proper) Proper (Proper) Properly Tunaifanyanga, proper (Proper) Proper (Proper) Properly Tunaifanyaga
Video
Nyashinski - Properly ft Femi One (Official Music Video)
Meaning & Inspiration
not a christian song.