Mercy Masika - Nitamsifu Lyrics

Lyrics

Nitamsifu Bwana wakati wote, majira yote  Nitaimba fadhili zake, mchana na usiku Sifa zake zi kinywani mwangu daima Hekaluni mwake nitasujudu daima

Nitamsifu Bwana wakati wote, majira yote  Nitaimba fadhili zake, mchana na usiku Sifa zake zi kinywani mwangu daima Hekaluni mwake nitasujudu daima

Maana kusifu, kunawapaswa Wanyoofu wa moyo Mimi na nyumba yangu  Tutamsifu Bwana siku zote (Be the real)

Leo nimeamua Mimi na nyumba yangu Tutamtumikia Bwana

Nataka mtaani wajue Taifa langu wajue Tutamtumikia Bwana

Marafiki nao wajue Majirani nao wajue Tutamtumikia Bwana

Sitarudi nyuma Wala sitatazama yaliyopita Hata shetani akinikumbusha Nitamuonyesha ukurasa mpya

Nitasonga mbele na Yesu Wala sitaacha familia nyuma Nitasonga mbele na Yesu Yesu

Nitatangaza sifa zake Mbele ya mataifa yote Sifa zake na zijulikane Kwa wote eeh

Leo nimeamua Mimi na nyumba yangu Tutamtumikia Bwana

Nataka mtaani wajue Taifa langu wajue Tutamtumikia Bwana

Marafiki nao wajue Majirani nao wajue Tutamtumikia Bwana

Leo nimeamua Mimi na nyumba yangu Tutamtumikia Bwana

Nataka mtaani wajue Taifa langu wajue Tutamtumikia Bwana

Marafiki nao wajue Majirani nao wajue Tutamtumikia Bwana

Video

Nitamsifu

Thumbnail for Nitamsifu video
Loading...
In Queue
View Lyrics