Mercy Masika - Nitamsifu Lyrics
Lyrics
Nitamsifu Bwana wakati wote, majira yote Nitaimba fadhili zake, mchana na usiku Sifa zake zi kinywani mwangu daima Hekaluni mwake nitasujudu daima
Nitamsifu Bwana wakati wote, majira yote Nitaimba fadhili zake, mchana na usiku Sifa zake zi kinywani mwangu daima Hekaluni mwake nitasujudu daima
Maana kusifu, kunawapaswa Wanyoofu wa moyo Mimi na nyumba yangu Tutamsifu Bwana siku zote (Be the real)
Leo nimeamua Mimi na nyumba yangu Tutamtumikia Bwana
Nataka mtaani wajue Taifa langu wajue Tutamtumikia Bwana
Marafiki nao wajue Majirani nao wajue Tutamtumikia Bwana
Sitarudi nyuma Wala sitatazama yaliyopita Hata shetani akinikumbusha Nitamuonyesha ukurasa mpya
Nitasonga mbele na Yesu Wala sitaacha familia nyuma Nitasonga mbele na Yesu Yesu
Nitatangaza sifa zake Mbele ya mataifa yote Sifa zake na zijulikane Kwa wote eeh
Leo nimeamua Mimi na nyumba yangu Tutamtumikia Bwana
Nataka mtaani wajue Taifa langu wajue Tutamtumikia Bwana
Marafiki nao wajue Majirani nao wajue Tutamtumikia Bwana
Leo nimeamua Mimi na nyumba yangu Tutamtumikia Bwana
Nataka mtaani wajue Taifa langu wajue Tutamtumikia Bwana
Marafiki nao wajue Majirani nao wajue Tutamtumikia Bwana
Video
Nitamsifu