Kidum - Corona Lyrics
Lyrics
Virusi hivi vya corona vimetufanyia Binadamu kote ulimwenguni Halafu maambukizo zinaenda kwa Kasi Virusi hivi vimeleta taaruki kwote ulimwenguni shughuli zote zimekwama
Sababu la gonjwa hili hatari Tajiri kwa masikinj Corona ugonjwa hili Halitambui tushikamane tupambane na adui Wowo nasema jangili hatari tuzingatie maagizo ya serikali
Mamlaka ya afya wanafanya kila juhudi ili Mimi na wewe tuwe Salama janga hili limeporomosha Uchumi ooooh mataifa yote yametangaza Hali hatari Tuko vitani na adui tusiyemuona na macho Anaitwa Nani Corona Virusi inauwa Corona Virusi haina dawa
Corona inauwa Corona Virusi haina dawa Ukistaajabu ya Musa nakuambia bado utaona ya virauni Viwanja vya ndege ,makanisa ,Mipaka ya nchi Vyote vimefungwa Mikusanyiko ya umma imepigwa marufuku ili kutulinda Jamani hili janga limeangamiza dunia Tufuateni maagizo tunayopewa Nisikize ugonjwa hili hatari Tuzingatie maagizo ya serikali
Tuko vitani na adui tusiyemuona na macho Corona Virusi inauwa ,Corona Virusi inauwa Corona Virusi haina dawa Corona Virusi haina dawa ,Corona Virusi inauwa
Video
Kidum- Pandemic Song (Official Music Video)