Kelsy Kerubo - Atatenda Lyrics

Contents:

Atatenda Lyrics

Ni alasiri tayari, usiku wanyemelea
Matarajio yangu ya macheo, yanaanza kudidimia
Nainua macho yangu juu, nakutabasamu
Sababu najua, mtetezi wangu atatenda

Atatenda Yesu, Atatenda
Kwa wakati na majira yake Atatenda
Kwa wakati na majira yake Atatenda
Atatenda Yesu, Atatenda
Kwa wakati na majira yake Atatenda
Kwa wakati na majira yake Atatenda

Natabasamu, natabasamu kwa Imani
Najua baba yangu, hatawai niwacha Mimi
Ananitengenezea neema iliyo juu na Bora zaidi
Nataka nikae kwake Atatenda

Atatenda Yesu, Atatenda
Kwa wakati na majira yake Atatenda
Kwa wakati na majira yake Atatenda
Atatenda Yesu, Atatenda
Kwa wakati na majira yake Atatenda
Kwa wakati na majira yake Atatenda

Usimtumainie mwanadamu, utalaaniwa
Usimtarajie mwanadamu, atakupuuza
Mpe Yesu mipango yako, mipango Yako
Kwa wakati, kwa wakati atatimiza

Atatenda Yesu, Atatenda
Kwa wakati na majira yake Atatenda
Kwa wakati na majira yake Atatenda
Atatenda Yesu, Atatenda
Kwa wakati na majira yake Atatenda
Kwa wakati na majira yake Atatenda


Kelsy Kerubo Songs

Related Songs