Joel Lwaga - Uhuru Lyrics
Lyrics
Uhuru wangu nimepewa na Yesu Nimepewa na Yesu Uhuru wangu nimepewa na Yesu Nimepewa na Yesu
Maana yeye ni kweli Hio kweli imeniweka huru Maana yeye ni kweli Na hio kweli imeniweka huru
Uhuru wangu nimepewa na Yesu Nimepewa na Yesu Uhuru wangu nimepewa na Yesu Nimepewa na Yesu
Maana yeye ni kweli Hio kweli imeniweka huru Maana yeye ni kweli Na hio kweli imeniweka huru
Uhuru mbali na dhambi Uhuru mbali na vifungo Uhuru mbali na umasikini Uhuru mbali na magonjwa Uhuru mbali na utumwa Uhuru mbali na uonevu wa uadui
Ewe maana bwana akikuweka huru wewe Umekuwa huru kweli kweli Ewe maana bwana akikuweka huru wewe Umekuwa huru kweli kweli
Uhuru wangu nimepewa na Yesu Nimepewa na Yesu Uhuru wangu nimepewa na Yesu Nimepewa na Yesu
Maana yeye ni kweli Hio kweli imeniweka huru Maana yeye ni kweli Na hio kweli imeniweka huru
Mimi sio mtumwa tena (Ooh, ooh) Mimi sio mateka tena (Ooh, ooh) Mimi mi mwana wa pendo lake tena (Ooh, ooh) Kweli mimi ni mwana wake Nimezaliwa kwa mbegu ya neno lake
Maana yeye ni kweli Hio kweli imeniweka huru Maana yeye ni kweli Na hio kweli imeniweka huru
Hio kweli si kinyume cha uongo Hio kweli ni halisi Vitu vyote vimefanywa kwa hio kweli Hio kweli ni --
Uhuru wangu nimepewa na Yesu Nimepewa na Yesu Uhuru wangu nimepewa na Yesu Nimepewa na Yesu
Uhuru wangu nimepewa na Yesu Nimepewa na Yesu Uhuru wangu nimepewa na Yesu Nimepewa na Yesu
Maana yeye ni kweli Hio kweli imeniweka huru Maana yeye ni kweli Na hio kweli imeniweka huru
Maana yeye ni kweli Hio kweli imeniweka huru Maana yeye ni kweli Na hio kweli imeniweka huru
Video
Uhuru