Joel Lwaga - Ngome Lyrics

Album: Thamani - EP
Released: 07 Aug 2020
iTunes Amazon Music

Lyrics

Yafanikiza na nyota za mwanga Hakuna kile ninokuwa cha macho Imegauka 

Mali na fedha na vitu vya dhamani Vimetoweka Marafiki na wote walionipenda Wamepotea

Giza mara hii limetawala Jua limezama mchana Mwezi umegoma kutoka  Gharika na mvua kucheki inazama

Nuru toka ndani yamulika Nguvu ndani yangu yainuka Amani ipitayo akili Na nguvu za mwili inanipa kucheka

Aliye ndani yangu Ni mkuu sana kuliko walimwengu Ndiye ngome yangu  Na ushindi wangu katika majaribu

Mimi sitaki mwingine ndiye anayenifaa  Sitaki mwingine ninaye tu  Mimi sitaki mwingine ndiye anayenifaa  Sitaki mwingine ninaye tu 

Nilidhani furaha ni watu wakikusifu Kumbe furaha ni Yesu moyoni yakikusibu Udhamani haupo kwa vitu visivyodumu Ila ni nguvu ya kutabasamu hata patupu

Giza mara hii limetawala Jua limezama mchana Mwezi umegoma kutoka  Gharika na mvua kucheki nazama

Nuru toka ndani yamulika Nguvu ndani yangu yainuka Amani ipitayo akili Na nguvu za mwili inanipa kucheka

Aliye ndani yangu Ni mkuu sana kuliko walimwengu Ndiye ngome yangu  Na ushindi wangu katika majaribu

Mimi sitaki mwingine ndiye anayenifaa  Sitaki mwingine ninaye tu  Mimi sitaki mwingine ndiye anayenifaa  Sitaki mwingine ninaye tu 

Nimesimama imara (Eeh) Hofu imeteka nyara (Eeh) Rohoni niko salama (Eeh) Na Yesu mwamba imara (Eeh)

Nimesimama imara (Eeh) Hofu imeteka nyara (Eeh) Rohoni niko salama (Eeh) Na Yesu mwamba imara (Eeh)

Giza mara hii limetawala Jua limezama mchana Mwezi umegoma kutoka  Gharika na mvua kucheki inazama

Nuru toka ndani yamulika Nguvu ndani yangu yainuka Amani ipitayo akili Na nguvu za mwili inanipa kucheka

Aliye ndani yangu Ni mkuu sana kuliko walimwengu Ndiye ngome yangu  Na ushindi wangu katika majaribu

Aliye ndani yangu Ni mkuu sana kuliko walimwengu Ndiye ngome yangu  Na ushindi wangu katika majaribu

Mimi sitaki mwingine ndiye anayenifaa  Sitaki mwingine ninaye tu  Mimi sitaki mwingine ndiye anayenifaa  Sitaki mwingine ninaye tu

Video

Ngome

Thumbnail for Ngome video
Loading...
In Queue
View Lyrics