Joel Lwaga - Ngome Lyrics
Lyrics
Yafanikiza na nyota za mwanga Hakuna kile ninokuwa cha macho Imegauka
Mali na fedha na vitu vya dhamani Vimetoweka Marafiki na wote walionipenda Wamepotea
Giza mara hii limetawala Jua limezama mchana Mwezi umegoma kutoka Gharika na mvua kucheki inazama
Nuru toka ndani yamulika Nguvu ndani yangu yainuka Amani ipitayo akili Na nguvu za mwili inanipa kucheka
Aliye ndani yangu Ni mkuu sana kuliko walimwengu Ndiye ngome yangu Na ushindi wangu katika majaribu
Mimi sitaki mwingine ndiye anayenifaa Sitaki mwingine ninaye tu Mimi sitaki mwingine ndiye anayenifaa Sitaki mwingine ninaye tu
Nilidhani furaha ni watu wakikusifu Kumbe furaha ni Yesu moyoni yakikusibu Udhamani haupo kwa vitu visivyodumu Ila ni nguvu ya kutabasamu hata patupu
Giza mara hii limetawala Jua limezama mchana Mwezi umegoma kutoka Gharika na mvua kucheki nazama
Nuru toka ndani yamulika Nguvu ndani yangu yainuka Amani ipitayo akili Na nguvu za mwili inanipa kucheka
Aliye ndani yangu Ni mkuu sana kuliko walimwengu Ndiye ngome yangu Na ushindi wangu katika majaribu
Mimi sitaki mwingine ndiye anayenifaa Sitaki mwingine ninaye tu Mimi sitaki mwingine ndiye anayenifaa Sitaki mwingine ninaye tu
Nimesimama imara (Eeh) Hofu imeteka nyara (Eeh) Rohoni niko salama (Eeh) Na Yesu mwamba imara (Eeh)
Nimesimama imara (Eeh) Hofu imeteka nyara (Eeh) Rohoni niko salama (Eeh) Na Yesu mwamba imara (Eeh)
Giza mara hii limetawala Jua limezama mchana Mwezi umegoma kutoka Gharika na mvua kucheki inazama
Nuru toka ndani yamulika Nguvu ndani yangu yainuka Amani ipitayo akili Na nguvu za mwili inanipa kucheka
Aliye ndani yangu Ni mkuu sana kuliko walimwengu Ndiye ngome yangu Na ushindi wangu katika majaribu
Aliye ndani yangu Ni mkuu sana kuliko walimwengu Ndiye ngome yangu Na ushindi wangu katika majaribu
Mimi sitaki mwingine ndiye anayenifaa Sitaki mwingine ninaye tu Mimi sitaki mwingine ndiye anayenifaa Sitaki mwingine ninaye tu
Video
Ngome