Guardian Angel - Sio Uongo Lyrics

Lyrics

Sio uwongo! Ulikonitoa ni mbali Yesu yoyoyo Sio uwongo!Kama kukosa nilikosa   Yesu ukanipa

Sio uwongo! Ulikonitoa ni mbali Yesu yoyoyo Sio uwongo! Ndani yako nina nguvu  Kusema asante

Hizi mashida ziliponiandama Yesu ulizitoa mmh Aibu yangu Mungu ukaivuta aah Taabu ukaiondoa

Sasa nani astahili Ila Yesu aliye hai Alinipenda akaniponya Na akanipa uhai

Sasa nani astahili Ila Yesu aliye hai Alinipenda akaniponya Na akanipa uhai

Sio uwongo! Ulikonitoa ni mbali Sio uwongo! Mungu wangu unanifaa Sio uwongo! Ulikonitoa ni mbali Sio uwongo! Mungu wangu unanifaa

Sio uwongo! Ulikonitoa ni mbali Yesu yoyoyo Sio uwongo!Kama kukosa nilikosa   Yesu ukanipa

Sio uwongo! Ulikonitoa ni mbali Yesu yoyoyo Sio uwongo! Ndani yako nina nguvu  Kusema asante

Safari ya mbali huwezi kwenda hata na gari Angalia nyuma huoni mwisho kama kwa bahari Mungu wangu asante kwa kunipa maisha fiti ya kifahari You all know salvation tamu kama sukari

Yo East African finest, Jimwa na Gwanso Global loves me I say glory to Jesus -- mi nina sifa moyoni Give thanks siskizi hayo yote maoni

Sio uwongo! Ulikonitoa ni mbali Yesu yoyoyo Sio uwongo!Kama kukosa nilikosa   Yesu ukanipa

Sio uwongo! Ulikonitoa ni mbali Yesu yoyoyo Sio uwongo! Ndani yako nina nguvu  Kusema asante

Yes me I give out and me no give up(Kaboom) Father you alone we are lean on And so we nuh leave out And me nuh give up,  Jesus

Team man, internationally we are lean on To the youth salvation, innovate by day Set the troubles to the Father  Cause si case

Team man, internationally we are lean on To the youth salvation, innovate by day Set the troubles to the Father  Cause si case

Ndani yakonina nguvu, kusema asante Ndani yakonina nguvu, kusema asante Ndani yakonina nguvu, kusema asante Ndani yakonina nguvu, kusema asante

Ni Mbali, ulikonitoa ni mbali Ni Mbali, ulikonitoa ni mbali Ni Mbali, ulikonitoa ni mbali Ni Mbali, ulikonitoa ni mbali

Video

Sio uongo - Redemption ft Guardian Angel ( Official Audio)

Thumbnail for Sio Uongo video
Loading...
In Queue
View Lyrics