Willy Paul - Kamataa Lyrics

Lyrics

Bebi wamesanya ngoma yangu pozze aah Naskia uduuuu

Si bebi wamesanya vitu zangu mmmh Naskia uduuuu Bebi katika washa ngaaa Kumbe wakenya ni mabazuu Mabazu ngaaa Ngaa kamata pepeta Katoto kazuri Basi bembeleza aah Kamatako  hii Kamata, kamata Kamata kwa chini Basi kamata kamata Kamatako  hii

Niite simba Mi ndio king kwenye game Hawana  keshima hatuwezi Kuwa same Kamata alafu endesha kama baisikeli Kamata salaam aleikum Usimess na mkenya ni mtu mbaya Ata ku ni mtu mbaya Mi nitatetea sauti ya wanyonge Si mi ni pozze eeeh Kamata pepeta Katoto kazuri basi bembeleza Ngaa, Kamatako  hii Kamata, kamata Kamata kwa chini Basi kamata kamata Ngaa, Kamatako  hii Kamata, kamata Kamata kwa chini Basi kamata kamata Ngaa, Kamatako  hii

Bebi inama achana copycat Wale wanigwaya coz mi ni nomaree eeh Bebi inama alafu katika Washamba wamegwaya coz nitawandika aah Mbona mwanikera ra ra ra Kenyan boy ii Mbona mwanisanya nya nya nya Kenyan boy ii Madem wetu ni wetu Kaeni na wenu Ngaa, ngoma zetu no zetu Toeni na zenu Ngaa, kamata pepeta Katoto kazuri basi bembeleza Ngaa, Kamatako  hii Kamata, kamata Kamata kwa chini Basi kamata kamata Ngaa, Kamatako  hii Kamata, kamata Kamata kwa chini Basi kamata kamata Ngaa, Kamatako  hii Kamatako  hii Kamatako  hii Kamatako  hii

Video

KAMATAA - WILLY PAUL ( official lyric video )

Thumbnail for Kamataa video
Loading...
In Queue
View Lyrics