Willy Paul - Aheri Mama Lyrics
Lyrics
Oooh mama mama Oooh mama mama Oooh mama mama Oooh mama mama
I could never ask for more Mama amour, nyawa aheri mama I could never ask for more Mama Amour, nyawa aheri mama
And there is a day, ninakuita mama (Aheri mama) And there is a day, ninakuita mama (Aheri mama)
Najua kuna wale hawanao mama, sio kupenda kwao Najua kuna wale hawatanielewa na sio kupenda kwao Ile nyumba fathe hakumalizia, nikumalizie mama Ile nyumba fathe hakumalizia, nikumalizie mama Ile deni mathe uliomba, nikumalizie mama Na ile nguo ulitamabni ya jirani, nikununulie mama
Mama (Mama) aah mama Mama (Mama) aah mama Mama (Mama) aah mama Mama (Mama) aah mama
I remember Salome Nilipokosea ulinichapa kidogo Na nilipokosa chakula mama Ulitafuta kidogo Ata sijui mbona nalia, mbona nawaza mama Sijui mbona nalia, sijui mbona nawaza mama mama (Iii iii)
Mama (Mama) aah mama Mama (Mama) aah mama Mama (Mama) aah mama Mama (Mama) aah mama
Mathe najua unam-miss mume wako fathe Ooh pole aisee, nimmiss kama mwana wake Mama I got u, anything you want just tell me Mama I got u, anything you want just tell me Mama mama Mama I love you mama, aheri mama
Video
Willy Paul ft Okello Max - Ahere - ( Official Visualizer )