Walter Chilambo - Usichelewe Lyrics

Contents: Song Information
  • Song Title: Usichelewe
  • Album: Usichelewe - Single
  • Artist: Walter Chilambo
  • Released On: 13 Mar 2025
  • Download/Stream: iTunes Music Amazon Music

Usichelewe Lyrics

Aaaah Walter tenaaaMungu wangunaomba niongee na weweHata kidogoNasikia uchungu ndani ya MoyoMambo yamekuwa mazitoNa siwezi peke yangu Naona maumivu ndani ya moyoNa umesema walipo wawili wewe upoNajiuliza nikiwa peke yangu je we upo?Ni kweli na imani Lakini kuna muda nachokaNa si kwamba sikuaminiNakuamini sanaaNimeomba,nimefunga na nimetoa sadakaIla mambo yanayumba,fanya hima uje harakaBasi uniambie mi (Ni wapi nakosea)Baba uniambie mi (Niwapi nakosea)Yesu uniambie eehh (Niwapi nakosea)Baba uniambie Mi niwapi nakosea nakuombausichelewe...( nachoka, nachoka )usichelewe...( tazama moyo umechoka )usichelewe...( nitangoja, ntangoja )usichelewe...( Mi mwanao bado ntangoja )Wenzangu wana marafiki Wa kuwaambia shida zaoNa mimi we ndio wangu RAFIKINinakuambia haja zanguSiulisemaUtanibariki mjini na mashambaniSiulisemaNiingiapo na nitokapo nitabarikiwaSiulisemaFedha na dhahabu vyote ni mali yako SiulisemaNikiomba utanipa zaidi ya niombavyoNimeomba,nimefunga na nimetoa sadakaIla mambo yanayumba,fanya hima uje harakaBasi uniambie mi (Ni wapi nakosea)Baba uniambie mi (Niwapi nakosea)Yesu uniambie eehh (Niwapi nakosea)Baba uniambie Mi niwapi nakosea nakuombausichelewe...( nachoka,nachoka )usichelewe...( tazama moyo umechoka )usichelewe...( nitangoja ,ntangoja )usichelewe...( Mi mwanao bado ntangoja )


Walter Chilambo Songs

Related Songs