Walter Chilambo - Sijawahi Ona Lyrics

Album: Sijawahi Ona - Single
Released: 23 Feb 2024
iTunes Amazon Music

Lyrics

Sijaumbwa kwa bahati mbaya Aah jamani napendwa Hivi hivi nilivyo Mungu ananipenda Pamoja na madhaifu yangu Lakini napendwa Hivi hivi nilivyo Mungu ananipenda So ukinidharau,we nidharau tu Lakini mimi na Mungu wangu tuna jambo letu Na ukinicheka,we nicheke sana Hizo kwa Mungu kelele tu Hazinisumbui wala Mungu wangu halali Mungu wangu hasinzii Na akisema anakubariki Hakuna wakuzuia Mungu wangu hashindwi Mungu wangu hapangiwi Neno lake halijawahi kupita Bila kutimia....sijawahi ona Sijawahi ona aahh aahh (mungu kama wewe aahh)Sijawahi ona aaah aah ( mimi aah)Sijawahi ona aaah aahh (upendo kama wako)Sijawahi ona aah aaah (baba baba baba)Wewe umesema akutegemeaye Haumuachi ng'o aah aaah Akutegemeaye Haumuachi ng'o Na tukiomba kwa bidii Tena kwa kumaanisha Ye hutimiza ahadi tusipozimia moyo Nakosaje ujasiri ndani Nimembeba mtu wa maana Naanzaje ...naanzaje Hatua moja huanzisha nyingine Na nyingine ananipa mwenyewe Naachaje ....naachaje Mungu wangu halali Mungu wangu hasinzii Na akisema anakubariki Hakuna wakuzuia Mungu wangu hashindwi Mungu wangu hapangiwi Neno lake halijawahi kupita Bila kutimia....sijawahi ona Sijawahi ona aahh aahh (mungu kama wewe aahh)Sijawahi ona aaah aah ( mimi aah)Sijawahi ona aaah aahh (upendo kama wako)Sijawahi ona aah aaah (Baba baba baba)

Video

Walter Chilambo - Sijawahi Ona (Official Video Lyrics)

Thumbnail for Sijawahi Ona video
Loading...
In Queue
View Lyrics