Walter Chilambo - Sijawahi Ona Lyrics
Lyrics
Sijaumbwa kwa bahati mbaya Aah jamani napendwa Hivi hivi nilivyo Mungu ananipenda Pamoja na madhaifu yangu Lakini napendwa Hivi hivi nilivyo Mungu ananipenda So ukinidharau,we nidharau tu Lakini mimi na Mungu wangu tuna jambo letu Na ukinicheka,we nicheke sana Hizo kwa Mungu kelele tu Hazinisumbui wala Mungu wangu halali Mungu wangu hasinzii Na akisema anakubariki Hakuna wakuzuia Mungu wangu hashindwi Mungu wangu hapangiwi Neno lake halijawahi kupita Bila kutimia....sijawahi ona Sijawahi ona aahh aahh (mungu kama wewe aahh)Sijawahi ona aaah aah ( mimi aah)Sijawahi ona aaah aahh (upendo kama wako)Sijawahi ona aah aaah (baba baba baba)Wewe umesema akutegemeaye Haumuachi ng'o aah aaah Akutegemeaye Haumuachi ng'o Na tukiomba kwa bidii Tena kwa kumaanisha Ye hutimiza ahadi tusipozimia moyo Nakosaje ujasiri ndani Nimembeba mtu wa maana Naanzaje ...naanzaje Hatua moja huanzisha nyingine Na nyingine ananipa mwenyewe Naachaje ....naachaje Mungu wangu halali Mungu wangu hasinzii Na akisema anakubariki Hakuna wakuzuia Mungu wangu hashindwi Mungu wangu hapangiwi Neno lake halijawahi kupita Bila kutimia....sijawahi ona Sijawahi ona aahh aahh (mungu kama wewe aahh)Sijawahi ona aaah aah ( mimi aah)Sijawahi ona aaah aahh (upendo kama wako)Sijawahi ona aah aaah (Baba baba baba)
Video
Walter Chilambo - Sijawahi Ona (Official Video Lyrics)
Meaning & Inspiration
Walter Chilambo's song "Sijawahi Ona," released with an official video on February 24, 2024, is a profound expression of faith and gratitude for God's unparalleled love and power. The title itself, which translates to "I have never seen," sets the stage for a declaration of the unique nature of the divine. The lyrics immediately establish a powerful message of self-worth rooted in divine creation and acceptance, stating "Sijaumbwa kwa bahati mbaya" (I was not created by accident) and "Napendwa Hivi hivi nilivyo Mungu ananipenda" (I am loved just as I am, God loves me). This foundation underscores the idea that despite perceived flaws or weaknesses ("Pamoja na madhaifu yangu"), God's love remains steadfast and unconditional.
The song directly addresses the challenges of facing external criticism and mockery. Lines like "So ukinidharau, we nidharau tu Lakini mimi na Mungu wangu tuna jambo letu" (So if you despise me, just despise me, but I and my God have something between us) and "Na ukinicheka, we nicheke sana Hizo kwa Mungu kelele tu" (And if you laugh at me, laugh a lot, to God those are just noise) convey a message of resilience. This resilience stems from an unwavering trust in God's perspective and power, which renders worldly opinions insignificant. The core of this trust is articulated through powerful affirmations of God's attributes: "Mungu wangu halali Mungu wangu hasinzii" (My God does not sleep, my God does not slumber), "Na akisema anakubariki Hakuna wakuzuia" (And if He says He blesses you, no one can stop it), "Mungu wangu hashindwi Mungu wangu hapangiwi" (My God cannot be defeated, my God is not controlled), and crucially, "Neno lake halijawahi kupita Bila kutimia" (His word has never passed without being fulfilled). These lines collectively declare God's omnipotence, faithfulness, and the certainty of His promises.
The central refrain, "Sijawahi ona," repeated with variations like "Mungu kama wewe" (A God like you) and "upendo kama wako" (love like yours), encapsulates the song's primary theme: the unparalleled nature of God and His love. This declaration is a testimony that no earthly experience or knowledge has revealed anything comparable to the divine being described. The lyrics further emphasize reliance on God, stating "Wewe umesema akutegemeaye Haumuachi ng'o" (You have said he who trusts in You, You never leave at all). This highlights the biblical promise of God's presence and support for those who depend on Him. The song encourages perseverance in prayer ("Na tukiomba kwa bidii Tena kwa kumaanisha Ye hutimiza ahadi tusipozimia moyo" - And when we pray diligently and intentionally, He fulfills promises if we do not lose heart) and the confidence that comes from faith ("Nakosaje ujasiri ndani Nimembeba mtu wa maana" - How can I lack courage inside, I carry someone important). The journey of faith is depicted as a progressive path where God guides and sustains ("Hatua moja huanzisha nyingine Na nyingine ananipa mwenyewe" - One step starts another, and the other He gives Himself). Overall, "Sijawahi Ona" serves as an inspirational anthem, encouraging listeners to recognize their divine value, place their complete trust in God's unique power and love, and remain steadfast in the face of adversity, assured that His promises are unfailing.