Ruth Wamuyu - Baba Mwaminifu Lyrics
Lyrics
Nilikulilia nikiwa na huzuni nyingi Uketiye juu, umetenda Umenirudishia furaha ya wokovu Hallelujah ahadi zako ni za kweli
Uhimidiwe, ushukuriwe Usifiwe Baba mwamifu Uhimidiwe, ushukuriwe Usifiwe Baba mwamifu
Tabibu wa moyo wewe hauchelewi Niliona kama nitashindwa Kumbe kwa haraka umeniondolea Dhihaka ya watesi Hallelujah usifiwe
Uhimidiwe, ushukuriwe Usifiwe Baba mwamifu Uhimidiwe, ushukuriwe Usifiwe Baba mwamifu
Wateule wote zidini kujitia moyo Hata kama bado hajatenda Yeye hachelewi ni baba mwaminifu Si mwingi wa hasira anatupenda sisi sote
Uhimidiwe, ushukuriwe Usifiwe Baba mwamifu Uhimidiwe, ushukuriwe Usifiwe Baba mwamifu
Uhimidiwe, ushukuriwe Usifiwe Baba mwamifu Uhimidiwe, ushukuriwe Usifiwe Baba mwamifu
Video
Baba Mwaminifu - Rev Ruth Wamuyu (OFFICIAL VIDEO) SMS [Skiza 7637120] to 811