Groupe Chandelier de Gloire - Rafiki Mwema Lyrics

Rafiki Mwema Lyrics

Kuna yule aliyenipenda 
Si kwa ajili ya mali 
Alinipenda wala hakujali udhaifu wangu 
Akanionyesha upendo ambao sijaona kwa wengine 
Huyu halali wala hasizinzii 
Hata leo hajawai kunichoka eeeh 

Kuna yule aliyenipenda 
Si kwa ajili ya mali 
Alinipenda wala hakujali udhaifu wangu 
Akanionyesha upendo ambao sijaona kwa wengine 
Huyu halali wala hasizinzii 
Hata leo hajawai kunichoka 

Sikutafuta ni yeye alikuja kwangu 
Ningawazaje makosa yangu 
Yesu alinipenda wa kwanza 
Nikamwamini yeye kanisamehe dhambi 
Upendo wake Yesu yeye wanishangaza 

Yesu huyu Yesu rafiki mwema 
Yesu huyu Yesu ninakupenda 
Yesu huyu Yesu rafiki mwema 
Yesu huyu Yesu ninakupenda 

Yesu kristo Bwana wangu ni rafiki mwema 
Yesu kristo Bwana wangu ni rafiki mwema 
Yesu kristo Bwana wangu ni rafiki mwema 

Yesu huyu Yesu rafiki mwema 
Yesu huyu Yesu ninakupenda 
Yesu huyu Yesu rafiki mwema 
Yesu huyu Yesu ninakupenda 


Rafiki Mwema Video

Rafiki Mwema Lyrics -  Groupe Chandelier de Gloire

Groupe Chandelier de Gloire Songs

Related Songs