Henrick Mruma - Ushuhuda Wa Uhuru Lyrics

Lyrics

Niko chini ya rehema Na sian tena hukumu Damu yake huyo mwana Imeniweka huru Niko chini ya rehema Na sian tena hukumu Damu yake huyu Yesu Imeniweka huru

Nimeijua kweli nayo Imeniweka huru Nimeijua kweli nayo Imeniweka huru Mwana akiniweka huru Nakuwa huru kwelikweli Mwana akiniweka huru Nakuwa huru kwelikweli Nashuhudia uhuru Nashuhudia uhuru Nashuhudia uhuru Nashuhudia uhuru

Nilifungwa muda mrefu Nilikosa tumaini Nikashindwa kuendelea Sasa naishi kwa ushindi Bwana amenifungua Nina hakika ya uhuru Nashusudia uhuru wangu Naimba Halleluya Nashusudia uhuru wangu Naimba Halleluya

Halleluya, Halleluya Halleluya, Halleluya (Wewe ni jabali langu) Halleluya, Halleluya Halleluya, Halleluya (Nina ushuhuda wa uhuru) Halleluya, Halleluya (Ndio maana ninaimba wimbo mpya) Halleluya (ninaimba) Halleluya, Halleluya Halleluya (ninaimba) Halleluya (bwana wa mabwana)

Video

Henrick Mruma - Ushuhuda Wa Uhuru (Official Lyric Video)

Thumbnail for Ushuhuda Wa Uhuru video
Loading...
In Queue
View Lyrics