Niko chini ya rehema
Na sian tena hukumu
Damu yake huyo mwana
Imeniweka huru
Niko chini ya rehema
Na sian tena hukumu
Damu yake huyu Yesu
Imeniweka huru
Nimeijua kweli nayo
Imeniweka huru
Nimeijua kweli nayo
Imeniweka huru
Mwana akiniweka huru
Nakuwa huru kwelikweli
Mwana akiniweka huru
Nakuwa huru kwelikweli
Nashuhudia uhuru
Nashuhudia uhuru
Nashuhudia uhuru
Nashuhudia uhuru
Nilifungwa muda mrefu
Nilikosa tumaini
Nikashindwa kuendelea
Sasa naishi kwa ushindi
Bwana amenifungua
Nina hakika ya uhuru
Nashusudia uhuru wangu
Naimba Halleluya
Nashusudia uhuru wangu
Naimba Halleluya
Halleluya, Halleluya
Halleluya, Halleluya
(Wewe ni jabali langu)
Halleluya, Halleluya
Halleluya, Halleluya
(Nina ushuhuda wa uhuru)
Halleluya, Halleluya
(Ndio maana ninaimba wimbo mpya)
Halleluya (ninaimba)
Halleluya, Halleluya
Halleluya (ninaimba)
Halleluya (bwana wa mabwana)