Henrick Mruma - Ushuhuda Wa Uhuru Lyrics
Lyrics
Niko chini ya rehema Na sian tena hukumu Damu yake huyo mwana Imeniweka huru Niko chini ya rehema Na sian tena hukumu Damu yake huyu Yesu Imeniweka huru
Nimeijua kweli nayo Imeniweka huru Nimeijua kweli nayo Imeniweka huru Mwana akiniweka huru Nakuwa huru kwelikweli Mwana akiniweka huru Nakuwa huru kwelikweli Nashuhudia uhuru Nashuhudia uhuru Nashuhudia uhuru Nashuhudia uhuru
Nilifungwa muda mrefu Nilikosa tumaini Nikashindwa kuendelea Sasa naishi kwa ushindi Bwana amenifungua Nina hakika ya uhuru Nashusudia uhuru wangu Naimba Halleluya Nashusudia uhuru wangu Naimba Halleluya
Halleluya, Halleluya Halleluya, Halleluya (Wewe ni jabali langu) Halleluya, Halleluya Halleluya, Halleluya (Nina ushuhuda wa uhuru) Halleluya, Halleluya (Ndio maana ninaimba wimbo mpya) Halleluya (ninaimba) Halleluya, Halleluya Halleluya (ninaimba) Halleluya (bwana wa mabwana)
Video
Henrick Mruma - Ushuhuda Wa Uhuru (Official Lyric Video)