Guardian Angel - Roho Wako Lyrics

Contents:

Roho Wako Lyrics

Mi nakiri kwa kinywa changu
Kwanza bila roho wako mi ni bure, bure sana
Mi nakiri kwa kinywa changu
Kwanza bila roho wako mi ni bure, bure sana

Roho wako ananipa nguvu ya kufanya huduma
Wakati mimi naishiwa nguvu ye ananisukuma
Wanaodhani ni mimi mwenyewe
Basi leo nataka mjue roho wa bwana
Ndiye anayefanya kazi ndani yangu

Wacha roho wako akae ndani yangu
Aniongoze (Aniongoze), Aniongoze (Aniongoze)
Wacha roho wako akae ndani yangu
Aniongoze (Aniongoze), Aniongoze (Aniongoze)

Roho wa Mungu kwa uwepo wako ndio tunanawiri
Roho wa Mungu kwa nguvu zako twasimama imara
Roho wa Bwana ukiwa nasi tuko tofauti sana
Roho wa Bwana

Nataka ukae ndani yangu
Uishi ndani yangu, udumu ndani yangu
Roho wa bwana, ukae ndani yangu
Uishi ndani yangu, udumu ndani yangu

Wacha roho wako akae ndani yangu
Aniongoze (Aniongoze), Aniongoze (Aniongoze)
Wacha roho wako akae ndani yangu
Aniongoze (Aniongoze), Aniongoze (Aniongoze)

Wacha roho wako akae ndani yangu
Aniongoze (Aniongoze), Aniongoze (Aniongoze)
Wacha roho wako akae ndani yangu
Aniongoze (Aniongoze), Aniongoze (Aniongoze)


Guardian Angel Songs

Related Songs