Wewe ni Mungu, mpasua bahari
Haufananishwi na kitu kingine
Haufananishwi na kitu kingine .
Wewe ni Mungu, mtuliza mawimbi
Haufananishwi na kitu kingine
Haufananishwi na kitu kingine
(rudia toka juu)
Unafanya mambo ambayo
Mwanadamu hawezi kufanya
Unatoa faraja ambayo
Mwanadamu hawezi toa
(rudia)
Haufananishwi na kitu kingine
Haufananishwi na kitu kingine .
Si mwepesi wa hasira
Unaghairi mabaya
Haufananishwi na kitu kingine
Haufananishwi na kitu kingine .
Mungu mwenye wivu
Unatunza maagano
Haufananishwi na kitu kingine
Haufananishwi na kitu kingine .
Katikati ya gadhabu
Unakumbuka rehema
Haufananishwi na kitu kingine
Haufananishwi na kitu kingine .
Unafanya mambo ambayo
Mwanadamu hawezi kufanya
Unatoa faraja ambayo
Mwanadamu hawezi kutoa
(rudia x4)
Haufananishwi na kitu kingine
Haufananishwi na kitu kingine
Write a review/comment/correct the lyrics of Haufananishwi:
Wimbo mzuri sana. Mungu awazidishie 1 year ago
Mungu awabariki.Mkija Kenya naomba mnijulishe 1 year ago
may God bless you 1 year ago
Loving the song 1 year ago
powerful WORSHIP song 1 year ago
True none like our God... 1 year ago
True worship 1 year ago
MUNGU awatie nguvu 1 year ago
it very nice, I trust No one like God 1 year ago
Great stuff 1 year ago