Wagalatia 2 : 12 Galatians chapter 2 verse 12

Swahili English Translation

Wagalatia 2:12

Kwa maana kabla hawajaja watu kadha wa kadha waliotoka kwa Yakobo, alikuwa akila pamoja na watu wa Mataifa; lakini walipokuja wao, akarudi nyuma akajitenga, huku akiwaogopa waliotahiriwa.
soma Mlango wa 2

Galatians 2:12

For before some people came from James, he ate with the Gentiles. But when they came, he drew back and separated himself, fearing those who were of the circumcision.