Wagalatia 2 : 12 Galatians chapter 2 verse 12
Swahili | English Translation |
---|---|
Wagalatia 2:12
Kwa maana kabla hawajaja watu kadha wa kadha waliotoka kwa Yakobo, alikuwa akila pamoja na watu wa Mataifa; lakini walipokuja wao, akarudi nyuma akajitenga, huku akiwaogopa waliotahiriwa.
|
Galatians 2:12For before some people came from James, he ate with the Gentiles. But when they came, he drew back and separated himself, fearing those who were of the circumcision. |