Janet Otieno - Nitangoja Lyrics

Lyrics

Aaaaaah yeah Bure bure bure Mmmmhh mama aaaah yeah Hairudi hairudi bure Neno asemalo halitarudi Haiwezi haiwezi delay Kusudi la Bwana halitadelay

Nimekuona shambani ata wakati wa kiangazi Umenibariki hadharani Hukuuliza binadamu ruhusa Na umefanya njia pasipo na njia Penye hasara faida Ukanimulikia Gizani

Mambo bado Badoo bado Kuna mahali naangalia Nitangoja ngoja ngoja Hadi utende unipandishe Unipandishe nitangoja ngoja Nitangoja ngoja ngoja Hadi utende unipandishe Unipandishe

Inuka nafsi yangu msifu Bwana Tabasamu kwa Giza Asubuhi majibu Zaidi wanavyodhani Na je hujui aliyeumba ulimwengu Aliyekuumba yupo juu mbinguni Usipo hisi vizuri pia yeye haisi vizuri

Anaelewa wakati wa jua Ataleta Mvua ,atakuheshimisha Kuna mipango umeeeka chini Yesu anaona yeye anaona hatazitatua Mambo bado bado Bado Bado Kuna mahali naangalia

Nitangoja ngoja ngoja Nitangoja ngoja ngoja Hadi utende Hadi utende unipandishe Unipandishe nitangoja ngoja ngoja Nitangoja ngoja ngoja Hadi utende unipandishe

Video

Janet Otieno - Nitangoja (Official Video) sms SKIZA 7301563 to 811 #NITANGOJA #janetotieno #gospel

Thumbnail for Nitangoja video
Loading...
In Queue
View Lyrics