Janet Otieno - Nitangoja Lyrics
Lyrics
Aaaaaah yeah Bure bure bure Mmmmhh mama aaaah yeah Hairudi hairudi bure Neno asemalo halitarudi Haiwezi haiwezi delay Kusudi la Bwana halitadelay
Nimekuona shambani ata wakati wa kiangazi Umenibariki hadharani Hukuuliza binadamu ruhusa Na umefanya njia pasipo na njia Penye hasara faida Ukanimulikia Gizani
Mambo bado Badoo bado Kuna mahali naangalia Nitangoja ngoja ngoja Hadi utende unipandishe Unipandishe nitangoja ngoja Nitangoja ngoja ngoja Hadi utende unipandishe Unipandishe
Inuka nafsi yangu msifu Bwana Tabasamu kwa Giza Asubuhi majibu Zaidi wanavyodhani Na je hujui aliyeumba ulimwengu Aliyekuumba yupo juu mbinguni Usipo hisi vizuri pia yeye haisi vizuri
Anaelewa wakati wa jua Ataleta Mvua ,atakuheshimisha Kuna mipango umeeeka chini Yesu anaona yeye anaona hatazitatua Mambo bado bado Bado Bado Kuna mahali naangalia
Nitangoja ngoja ngoja Nitangoja ngoja ngoja Hadi utende Hadi utende unipandishe Unipandishe nitangoja ngoja ngoja Nitangoja ngoja ngoja Hadi utende unipandishe
Video
Janet Otieno - Nitangoja (Official Video) sms SKIZA 7301563 to 811 #NITANGOJA #janetotieno #gospel