Paul Clement - Nimesamehewa Lyrics
Lyrics
Adui naye anakazana Kunifanya nisisogee Auharibu moyo wangu wa ibada Uwe harufu mbaya kwa bwana
Kajenga kiburi ndani yangu Kajaza uchafu ndani yangu Katega kaburi mbele yangu Ili nianguke bila kuona
Kwanza alinikosesha Kisha akafanya mashtaka Nionekane kuwa na makosa Kumbe nilishasamehewa Kumbe nilishasamehewa
Adui yangu nikwambie Mungu anasemehe na kusahau Unachoshtaki yeye hakijui Unachoshtaki yeye hakumbuki Unachoshtaki yeye hakumbuki
Nimesamehewa, nimelipiwa deni Mimi si mtumwa tena, mimi si mtumwa tena Nimesamehewa, nimelipiwa deni Mimi si mtumwa tena, mimi si mtumwa tena
Nimesamehewa Nimelipiwa deni Mimi si mtumwa tena Mimi si mtumwa tena
Nimesamehewa Kwa damu ya Yesu Nimekombolewa Kwa damu ya Yesu
Lile deni nalodaiwa halipo tena yeah Lile deni nalodaiwa halipo tena Lile deni nalodaiwa halipo tena Ile hati ya mashtaka, haipo tena
Nimesamehewa Kwa damu ya Yesu Nimekombolewa Kwa damu ya Yesu
Ndio, nimesamehewa Kwa damu ya Yesu Kweli, nimekombolewa Kwa damu ya Yesu
Ndio, mimi si mtumwa tena Kwa damu ya Yesu Am forgiven by the blood, kweli Am forgiven by the blood, kwa damu ya Yesu
Ndio, nimesamehewa Kwa damu ya Yesu Lile deni nalodaiwa halipo tena Ile hati ya mashtaka haipo tena
Video
PAUL CLEMENT - NIMESAMEHEWA ( OFFICIAL VIDEO)